Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mbona kasoma vizuri tuu, dunia ya leo degree sio issue, nchi kama US wanathamini sana uwezo wako kikazi kuliko degree uliyonayo, mtu kama Diamond anaonekana ana akili sana hata kama hajasoma na anaweza akawa kiongozi mzuri kuliko mtu mwenye PHd, soma kwa faida yako lakini usitegemee degree kupata nafasi ya uongozi
 
Naangalia clouds TV muda huu naona Jinsi mwana FA anavyo tupanga kwenye TK MOVEMENT
😊😊😊😊
 
Unasema anaakili sana kwa kutumia vigezo gani
 
Nyerere pia hakuwa na degree ya kwanza.
Tatizo nyiye watoto hamjui vingi zaidi ya kushangaa shangaa na kulaumu.
Ndalichako hana Masters lakini ana degree ya Uzamifu.
Kijana upo hapo.
Wenye uwezo mkubwa wa aina ya Nyerere au Mwana FA ndiyo hufanyiwa hivyo.
 
Hiyo masters alichukua nchi gani?
 
Degree wanazo wengi lakini hakuna kitu wanafanyia hiyo neno degree
 
Post-graduate Diploma c ndo Degree au?
Post graduate diploma unasoma ukiwa na DEGREE na hata kwenye ku apply post graduate diploma kigezo Ni degree ya kwanza E.g Mimi ninayo moja ya FINANCE nilitumia degree ku apply nikasoma mwaka mmoja then nikafaulu na kufanikiwa kuipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…