Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mkuu unajua unachokiongea kwelii?, anyway jifunze Mkuu.Ko ukiwa na advanced diplom ndo usome masters nyie acheni kutuchora sema ndoiv jamaa kajitahid kuunga mpk kafik ila iyo masters yake ndo inaleta utata maybe ipo ivo tusibishe sana
Kina pdf amaHapana. Nyerere hana shahada ya pili.
Ana shahada ya kwanza inayoitwa Masters. It's a weird and ancient degree from Scotland.
Kasome kitabu cha Profesa wa The University of Edinburgh anaitwa Timothy Molony, kitabu kinaitwa "Nyerere: The Early Years". Humo utakuta mpaka maksi alizopata Nyerere.
Mpaka sup zake zimoKina pdf ama
Hiki hapa.Kina pdf ama
Mpaka kesho advanced diploma ni equivalent ya bachelor degree na unaruhusiwa kufanya masters,ndiyo maana watu walipata mikopo ya 'elimu ya juu' pale CBE,ifm,tia, IAA nkUlikuwa ukisoma advance diploma, unakwenda kufanya shahada ya pili moja kwa moja
Advance diploma ni equivalent ya bachelor degree na unaruhusiwa kufanya masters ndiyo maana pale CBE ifm tia IAA nk watu walipata mikopo ya 'elimu ya juu',jifunzeni taratibu za elimu,tatizo lenu Hadi kuomba kusoma chuo mlisaidiwa pale machinga complex kwa ada ya 30kKo ukiwa na advanced diplom ndo usome masters nyie acheni kutuchora sema ndoiv jamaa kajitahid kuunga mpk kafik ila iyo masters yake ndo inaleta utata maybe ipo ivo tusibishe sana
Nadhani wewe ndiye mwenye matatizo ya ulewa kwani inaelekea hujui hata maana ya digrii ni nini.Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Sasa makasiriko ya ada ya machinga complex inahusian na nini ko wew unajiona una utajir kukashifu sis masikini sio wew elewesha mtu habar za hayo ya ada haihusiani hapaAdvance diploma ni equivalent ya bachelor degree na unaruhusiwa kufanya masters ndiyo maana pale CBE ifm tia IAA nk watu walipata mikopo ya 'elimu ya juu',jifunzeni taratibu za elimu,tatizo lenu Hadi kuomba kusoma chuo mlisaidiwa pale machinga complex kwa ada ya 30k
Yaani ulichoelewa hapo ni ada tu!!?..bogusSasa makasiriko ya ada ya machinga complex inahusian na nini ko wew unajiona una utajir kukashifu sis masikini sio wew elewesha mtu habar za hayo ya ada haihusiani hapa
Wew ndo bugus msewYaani ulichoelewa hapo ni ada tu!!?..bogus
na hilo mkaliangalie!Sifa ya ubunge nikujua kusoma na kuandika
Acha watu wapewe uwaziri. Apewe hata uwaziri mkuu, au vipi jamani
wewe ndio unajua mkuu toa Elimu na ujibu je mwana FA Ana degree au hana?Nadhani wewe ndiye mwenye matatizo ya ulewa kwani inaelekea hujui hata maana ya digrii ni nini.
Kwani masters siyo degree?wewe ndio unajua mkuu toa Elimu na ujibu je mwana FA Ana degree au hana?
kwa hiyo bachelor Degree MWANA FA anayo au hana?Kwani masters siyo degree?
Tambua kuwa elimu ya chuo kikuu imegewanyika katika ngazi mbili (a) Undergraduate level, ambayo hutoa credentials kama Bachelors Degree, Advanced Diploma, Higher National Diploma, n.k., (b) Graduate (au Postgraduate) level, ambayo hutoa credentials kama Masters Degree, Professional Degree na Doctorate Degree)
Qualification za kujiunga na graduate level ni kumaliza undegrarduate level. Sasa iwapo mwana FA ana Advanced Diploma, hujui kuwa amemaliza undergraduate level ndipo akaanza postgraduate level ambyo ndiyo iliyomoatia Masters degree?.
Je unajua kuwa kuna vyuo ambavyo huungansiaha undergrdaute na Masters katika leve moja na kutoa digrii ya masters moja kwa moja? Huelewi pia kuwa Nyerere alikwenda Edindbuegh kupata masters akiwa na diploma ya ulaimu ?