TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Binafsi nimeshangazwa sana sana na comments zake! Ni kweli nilikua na mjadala mrefu na wewe, na baadae nikawasiliana na Maxence Melo juu ya jambo hili, kwa bahati nzuri akanieleza na Mimi nikamhakikishia kuwa wewe Naja naja ni kweli ni mhitaji ndio uzi wako ukawekwa hewani baada ya kufutwa.

Ilifika mahali Dada Huyu tuliamua tutoe pesa zetu wenyewe tukupatie lakini mambo ya kifamilia yakawa mengi including Huyu Dada wa watu kupata msiba kwao Mwanza. Ulitaka afanyeje ili umuamini??

Ulishindwaje kumuuliza hata inbox kile kilichotokea? Baada ya kuona jambo hili hapa nimempigia Max na nimemweleza kila kitu. Nyie ndio mnaofanya next time iwe ngumu kuwasaidia wengine. Mbona tunasaidiana sana? Ikitokea imeshindikana kufikia malengo yetu tusiwachafulie majina wengine.
Why umtaje huyu Dada tu na sio Mimi?? I am the one who organized everything ikiwa ni pamoja na kumshawishi Max.
Pole sana Dada. Mungu atakulipia.
 
Single mothers za kujitakia ili mwanamama apate nafasi ya kudanga zinalaaniwa na wengi! Ni upotofu katika kiwango cha juu. Na mbaya zaidi wengi wanaiga tu bila kujua yanayokuja mbele. Siku zote u-single parent (siyo u-single mother tu) ni kitu ambacho kinatakiwa kiepukwe kwa bidii zote.
 
Nimerumiwa pm comments zake..na hii ni 2nd tym..kuna kipindi nilipigwa ban ...kuna mchizi akaniambia naja naja anasema umekula hela zake...sikuuona huo uzi...! Haya yaishe!
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
 
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?

Najuta best!
 

🙌🙌🙌🙌
 
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Ndio baadhi ya binadam bro

Mm hapa moyo umekufa kabisa sijui itakuwaje kusaidia wengine sijui kwa nn wahitaji ni walalmishi na waongo mda mwingine vinaumiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najuta best!
Najua hata wewe hukuwahi kujua niliwasiliana na Max kwa ajili yake, zaidi ya kukupa feedback tu, lengo lilikua ni kulinda privacy yake lakini kwa kuwa hana busara basi. Naja naja naweka screenshots za Pm zangu na Max, je uliwahi kujua kuwa Elli alifanya Haya? Sikuwahi kusema kwa MTU hata siku moja kwajili ya heshima but kwa ujinga huu, umenikera sana.

Niambie ni wapi huyu Dada amehusika? Kama kuna lawama zozote zitupe kwangu, yeye ndio alikua mhamasishaji tu. Umeharibu sana
 
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Najuta best!
Msijute.
Tenda wema nendeni zenu.

Kuna Watu Ni kweli Wana matatizo lakini hawana busara kabisa.

Mimi yalishawahi kunikuta..nimesaidia mtu ikafika kipindi nikawa sina hela hata ya kula kisa kusaidia mtu..akawa ameweka Kama Sheria,Kuna siku anaanza kunigombeza.
Mara nikaona anaenda mbali zaidi kutaka kuvuruga mahusiano yangu.

Yaani alikuwa mtu Baki tu,amenifahamu kupitia rafiki yangu ambaye Ni school mate wangu..hajawahi hata kuniona.
Ila nikajitia mama huruma.

Msiache kusaidia wahitaji,ila pale unapoona anakukosea adabu mwambie ukweli.
Yeye si malaika kwamba kila kitu yupo sawa na uhitaji wake isiwe kigezo Cha kumuogopa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mna mioyo ya huruma ,Mungu awabariki Sana.

Mimi huyu uzi wake nilisoma,yawezekana kweli Ni muhitaji ila naona Kama hakuwa na busara katika kuwasalisha shida zake.
Ni mtazamo tu

All in all hakuna aliyekamilika.
Samehe na msiache kusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kuna kipindi mwenzangu alinishtak kbs home...! Kwamba huyu mtu anagawa tu hela😅😅...nikamshangaa...kumbe alikua sawa!...mie sjawah muone mwenzangu anatoa msaada kbs...kumbe he was right!..kwamba hela imepigwa..sijui tumejikuza kupitia mgongo wake how?..kwan tunataka uongoz wowot hapa?? Kwanza kusaidia na kuja kutangaza hapa huwa haina baraka...labda mhusika aamue mwenyew kushukuru..! Jamani dunia hii
 


Uzi wa kwanza alichamba balaa...mie nikamuona anastress nikaelewa situationyake....na kunakipindi alimsema had dadake nikamwambia msahau na msamehe...ss mm ni nani nisisemwe!..ila nimejifunza...!
 
Uzi wa kwanza alichamba balaa...mie nikamuona anastress nikaelewa situationyake....na kunakipindi alimsema had dadake nikamwambia msahau na msamehe...ss mm ni nani nisisemwe!..ila nimejifunza...!
Ndiyo
Hata Mimi niliona jinsi anavyochamba Watu.
Nikabaki nashangaa tu.

Huyu mwingine alikuwa mpole na mvumilivu katika kuwasilisha maombi yake na kuwajibu Watu.

Maskini dada wa Watu,ukajitoa..si ajabu unaforgone vitu vyako vingine ili tu usaidie lakini Kuna Watu huwa hawana shukrani jamani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huyu wa china nitamuonesha ...maana aliahidi....huyu alovunjikiwa mtoto anaona kinachoongelewa! Yaan..kh😅😅!yaishe lil sisy ! Mie sina kinyongo naye .hyo situation naijua....!ila asipobadilika atashindwa ishi na watu ..hii naisema kabisa..
 
Hakika.
Busara Ni kitu Cha bure.
Anapaswa abadilike..busara hainunuliwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Yes ..kuwa na kiasi!..usik mwema dogo
 
Status ya msiba halafu?? Ningemblock

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app

Binadamu hawakosi visababu vya kusingizia! Ila ninajifunza kitu kupitia haya majibu na kile kilichotokea hivi juzi


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…