TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

🙏🙏🙏🙏🤙
 
Umeandika vyema sana.
Kutoa msaada sio hadi uandike huku kana kwamba ni lazima utoe report huku. Toa kimya kimya songa mbele.
Hata mimi namjua mtu ambaye ni mtoaji sana, wengine wakija kwangu nawasukumia kwake na wanasaidika. Lakini hata siku moja haumkuti kwenye nyuzi za misaada anacomment.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Cresida yaache haya mama...nmejua wap nilikosea....!..hv mm kuna sk nimewah mpa mtu hata mia nikaja msema humu? Huyo marehem mwenyew ndonnashangaa alikua akiwaambia watu...kibiblia haitakiwi kusema...hii ishu ya huyu dogo humuhum jf watu waliikuza sanaila namwelewa sana ushimen...! Uwe na wakati mwema
 
Ni kweli..
Yaani unamsaidia mtu mwisho inakua kama vile unamsimanga..
(Kuna kipindi nilikua naumwa..mimi hata kama nina matatizo nataka kufa hua simwambii mtu. Mdada mmoja akagundua navyoumwa mwenyewe kwa kupenda kwake bila kumuomba akawasiliana na baby wake akanitumia $50. Hiyo hela niliijutia maana nilitangazwa humu hadi manengelo aliimbiwa na kunasehem alikua anani attack ndio akaanza kuninanga kua nilipewa msaada humu..
Nilishangaa sana, maana sikumuomba kitu mm nikamshukuru kwa wema then akaja kunitangaza)
 
Nikitaka kumwambia hili toka juzi.. ila nilikaa kimya. Nilikua msomaji tu humu karibia wiki mbili ila imebidi nichangie humu
Ajifunze kutokuongea sana, watu wanaotoa misaada hua wako kimya.
 
Inabidi liandaliwe baraza mkalishwe chini tusikilize pande zote 2, maana naona mmemchangia dogo kundi la watu mpaka dogo anakosa pumzi, inabidi kila mtu awe na pace.

Dogo toka mwaka jana anawalalamikia, ina maana hizi comments zake mlikuwa hamzioni! Mmojawenu amedai eti amejaribu kutafuta hizi comments kama hizi amezikosa, wakati nyuzi za huyu dogo ni fupifupi tuu.

Mzee wa baraza Mshana Jr ebu andaa kikao hili jambo liwekwe sawa maana likiachwa hewani bila hitimisho linaathiri waomba misaada na waombwa misaada.






Unforgetable
 
Hizi screenshot nilizipata kupitia huyo dada mshirika wako.
 
Hili ndiyo tatizo lililonipata,na nimeambiwa hivyo hivyo nerves za zimekauka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu ona unavyojichanganya.

Huyu marehemu tu umetoka kuandika huko juu siku chache kabla hajafa ulimtumia pesa siku ya sikuu kama sikosei.

Halafu ukamsema marehemu kwamba ni mlalamishi.
 
Embu ona unavyoongopa hapa.

Mimi na wewe hatujawahi kuwasiliana popote?
 


Sawa mkuu....! Nimekuelewa!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…