TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Nimepitia comments zote nikarudi hapa.
Kwanza pole sana.
Pili dogo anasema hajakutaja wewe kwenye utapeli. Ila tuachane nayo.

Unajua dear wewe ambacho pengine kinaweza kikawa ni adui yako na haujakigundua ni 'kuongea too much", na ku promise vitu public sana. Jitahidi kupunguza. Ongea kidogo tena sana wala hautaona haya maneno yanakufuata.

Unajua tatizo la mtu anayeongea au kama sio kuandika sana? Huwa hapati muda wa kutafakari anachotaka kuandika na kujua baadae kitakuwa na madhara gani kwa mtu. Unakumbuka ile issue ya yule dogo?, unamwona tena jf?. Ni matokeo yako ya kuandika sana ukiona unamsaidia mtu kumbe unamchafulia sifa yake. Tuachane nayo.

Yawezekana huyu dogo ulimpromise sana, ukampa matumaini ya juu. (Niliona ule uzi ulikuwa unapromise haswa na kusema umewasaidia wengi, hata kwenye huu Uzi nimeona unasema yaani unasaidiaga hadi hubby ako anakumind). Sasa kwa maneno kama yale pengine dogo aliweka matumaini makubwa kwako, na watu waliokuwa kwenye zile nyuzi wengi tuliamini hautamwacha dogo hivi hivi. Sasa kama alikuwa na matumaini yote hayo na mwisho wa siku hakuambulia hata 10,000 unafikiria nini? Lazima ajione unajimwambafy public tuu.

Kuepuka maneno, epuka kuandika sana bila kujua madhara ya unachokiandika baadae. Epuka pia kutoa promise hadharani kwamba utamsaidia mtu kabla haujamsaidia. Hauwezi kujua ni wangapi waliacha kusaidia wakijua "pedeshee" Manengelo atasaidia.

Huu ni ushauri wangu wala hauna chuki yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
🙏🙏🙏🙏🤙
 
Shida haipo kwa kijana.. ipo kwenu.
ukimsaidia mtu lazima useme humu?
Tenda wema nenda zako nyie mnaelewa vipi?
Wapo watu wanatoa misaada mikubwa. Huwezi kuta anakaa anasema kua nimemsaidia kitu fulani..Biblia inasema ukitoa sadaka mkono wa kushoto usijue! Nyie mwafanya hivo?
Sio kila mtu lazima ajue kua mnatoa misaada, Toeni yabaki ndani ya mioyo yenu!

Ukisoma huu uzi mwanzo mwisho unaona kila mtu anasema jinsi anavyosaidia/alivyosaidia..msaada hautangazwi. Kuna mtu namjua kamsaidia sana huyo Robin pesa mingi sana ila hata kuja kwenye huu uzi hajaja. Hua anasaidia wengi sana humu ila huwezi muona akiongea kitu kwasababu anajua Definition and how ya kutoa Sadaka/msaada
Umeandika vyema sana.
Kutoa msaada sio hadi uandike huku kana kwamba ni lazima utoe report huku. Toa kimya kimya songa mbele.
Hata mimi namjua mtu ambaye ni mtoaji sana, wengine wakija kwangu nawasukumia kwake na wanasaidika. Lakini hata siku moja haumkuti kwenye nyuzi za misaada anacomment.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Naja naja habari.
Kuna sehemu alitajwa manengelo wewe ukasema "humjui huyo dada" ukaulizwa yukoje? Ukajibu "si mtu mzuri" ukaulizwa tena na tena kama screenshots hapo zinavyoonyesha.
Then manengelo na Elli kuja kuelekea hali halisi ya situation yako wamekosea? Mpaka unamuita Elli mnafiki? Umekosea. View attachment 1371160View attachment 1371161View attachment 1371162View attachment 1371163

Sent using Jamii Forums mobile app


Cresida yaache haya mama...nmejua wap nilikosea....!..hv mm kuna sk nimewah mpa mtu hata mia nikaja msema humu? Huyo marehem mwenyew ndonnashangaa alikua akiwaambia watu...kibiblia haitakiwi kusema...hii ishu ya huyu dogo humuhum jf watu waliikuza sanaila namwelewa sana ushimen...! Uwe na wakati mwema
 
Umeandika vyema sana.
Kutoa msaada sio hadi uandike huku kana kwamba ni lazima utoe report huku. Toa kimya kimya songa mbele.
Hata mimi namjua mtu ambaye ni mtoaji sana, wengine wakija kwangu nawasukumia kwake na wanasaidika. Lakini hata siku moja haumkuti kwenye nyuzi za misaada anacomment. Ila najua wan

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli..
Yaani unamsaidia mtu mwisho inakua kama vile unamsimanga..
(Kuna kipindi nilikua naumwa..mimi hata kama nina matatizo nataka kufa hua simwambii mtu. Mdada mmoja akagundua navyoumwa mwenyewe kwa kupenda kwake bila kumuomba akawasiliana na baby wake akanitumia $50. Hiyo hela niliijutia maana nilitangazwa humu hadi manengelo aliimbiwa na kunasehem alikua anani attack ndio akaanza kuninanga kua nilipewa msaada humu..
Nilishangaa sana, maana sikumuomba kitu mm nikamshukuru kwa wema then akaja kunitangaza)
 
Nimepitia comments zote nikarudi hapa.
Kwanza pole sana.
Pili dogo anasema hajakutaja wewe kwenye utapeli. Ila tuachane nayo.

Unajua dear wewe ambacho pengine kinaweza kikawa ni adui yako na haujakigundua ni 'kuongea too much", na ku promise vitu public sana. Jitahidi kupunguza. Ongea kidogo tena sana wala hautaona haya maneno yanakufuata.

Unajua tatizo la mtu anayeongea au kama sio kuandika sana? Huwa hapati muda wa kutafakari anachotaka kuandika na kujua baadae kitakuwa na madhara gani kwa mtu. Unakumbuka ile issue ya yule dogo?, unamwona tena jf?. Ni matokeo yako ya kuandika sana ukiona unamsaidia mtu kumbe unamchafulia sifa yake. Tuachane nayo.

Yawezekana huyu dogo ulimpromise sana, ukampa matumaini ya juu. (Niliona ule uzi ulikuwa unapromise haswa na kusema umewasaidia wengi, hata kwenye huu Uzi nimeona unasema yaani unasaidiaga hadi hubby ako anakumind). Sasa kwa maneno kama yale pengine dogo aliweka matumaini makubwa kwako, na watu waliokuwa kwenye zile nyuzi wengi tuliamini hautamwacha dogo hivi hivi. Sasa kama alikuwa na matumaini yote hayo na mwisho wa siku hakuambulia hata 10,000 unafikiria nini? Lazima ajione unajimwambafy public tuu.

Kuepuka maneno, epuka kuandika sana bila kujua madhara ya unachokiandika baadae. Epuka pia kutoa promise hadharani kwamba utamsaidia mtu kabla haujamsaidia. Hauwezi kujua ni wangapi waliacha kusaidia wakijua "pedeshee" Manengelo atasaidia.

Huu ni ushauri wangu wala hauna chuki yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikitaka kumwambia hili toka juzi.. ila nilikaa kimya. Nilikua msomaji tu humu karibia wiki mbili ila imebidi nichangie humu
Ajifunze kutokuongea sana, watu wanaotoa misaada hua wako kimya.
 
Inabidi liandaliwe baraza mkalishwe chini tusikilize pande zote 2, maana naona mmemchangia dogo kundi la watu mpaka dogo anakosa pumzi, inabidi kila mtu awe na pace.

Dogo toka mwaka jana anawalalamikia, ina maana hizi comments zake mlikuwa hamzioni! Mmojawenu amedai eti amejaribu kutafuta hizi comments kama hizi amezikosa, wakati nyuzi za huyu dogo ni fupifupi tuu.

Mzee wa baraza Mshana Jr ebu andaa kikao hili jambo liwekwe sawa maana likiachwa hewani bila hitimisho linaathiri waomba misaada na waombwa misaada.



Screenshot_20200228-095450.jpeg
Screenshot_20200228-095412.jpeg



Unforgetable
 
Dogo kuwa mkweli, ukisema ukiongea na hawa watu, mimi na wewe tuliwahi kuongea chochote? Tuliwahi kuwasiliana popote? Hizi screenshots unasema eti unazo, wapi umezitoa!?? Mimi nimeweka ushahidi wa mawasiliano yangu na Max je Uzi wako ulirudishwa baada ya wewe kuongea na Max au mimi? Kumbuka, Nina muda mrefu hapa na kama kuna MTU niliwahi kumtapeli hata senti ajitokeze hapa. Sijawahi kubadili hata ID since 2008, why nije nikutapeli wewe???? Binadamu ....
Hizi screenshot nilizipata kupitia huyo dada mshirika wako.
 
Hili ndiyo tatizo lililonipata,na nimeambiwa hivyo hivyo nerves za zimekauka
Mishipa inayopeleka mawasiano imekauka nimetumia takribani siku 270 kumeza vidonge ili mishipa irudi kwenye hali yake lakini wapi.

Vidonge bei ni 50,000 unapewa vidonge 90 unatakiwa umeze kimoja tu kila siku.
Vikiisha unarudi hospitali.

Nilirudi mara 3 pale CCBRT.
Mwisho daktari akaniambia hili tatizo labda lijaribiwe kupitia mashine za kusikia.

Nikaelekea meneo ya mtaa wa MINDU pale Upanga nikapimwa tena.
Matokeo yakasomwa kwamba hata zile mashine hazitoweza kunisaidia.

Ili nielewane na mtu vizuri natakiwa niangaliane nae usoni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cresida yaache haya mama...nmejua wap nilikosea....!..hv mm kuna sk nimewah mpa mtu hata mia nikaja msema humu? Huyo marehem mwenyew ndonnashangaa alikua akiwaambia watu...kibiblia haitakiwi kusema...hii ishu ya huyu dogo humuhum jf watu waliikuza sanaila namwelewa sana ushimen...! Uwe na wakati mwema
Embu ona unavyojichanganya.

Huyu marehemu tu umetoka kuandika huko juu siku chache kabla hajafa ulimtumia pesa siku ya sikuu kama sikosei.

Halafu ukamsema marehemu kwamba ni mlalamishi.
 
Dogo kuwa mkweli, ukisema ukiongea na hawa watu, mimi na wewe tuliwahi kuongea chochote? Tuliwahi kuwasiliana popote? Hizi screenshots unasema eti unazo, wapi umezitoa!?? Mimi nimeweka ushahidi wa mawasiliano yangu na Max je Uzi wako ulirudishwa baada ya wewe kuongea na Max au mimi? Kumbuka, Nina muda mrefu hapa na kama kuna MTU niliwahi kumtapeli hata senti ajitokeze hapa. Sijawahi kubadili hata ID since 2008, why nije nikutapeli wewe???? Binadamu ....
Embu ona unavyoongopa hapa.

Mimi na wewe hatujawahi kuwasiliana popote?
 
Nikitaka kumwambia hili toka juzi.. ila nilikaa kimya. Nilikua msomaji tu humu karibia wiki mbili ila imebidi nichangie humu
Ajifunze kutokuongea sana, watu wanaotoa misaada hua wako kimya. Imagine mtu ni karibia 2yrs anasapoti kila kitu in my life ila hata sura yake hatak niijue..


Sawa mkuu....! Nimekuelewa!...
 
Back
Top Bottom