Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
ImbacileUgonjwa wangu wa Akili unauzidi huu wako hapa chini kwa kujua fika kuwa hujui Kiingereza halafu unajitutumua Kukiandika halafu Unakikisea na Kukichapia?
View attachment 2895752
View attachment 2895754
Nasubiri majibu tafadhali.
NincompoopImbacile
Hosp darisalamu, ugonjwa siri ya mgonjwa, sawa,
Mfumo gani usio rasmi? Kujuana na wakubwa na watoto wa wakubwa? Kuna mahala tutumie akili zetu ingawa sio nyingi kama vileeeeJamaa aliingia kwenye mfumo vizuri sn
Mbele yetu,Dah! Man amedanji. noma sana. Mbele yake nyuma yetu. Amen!
Kwanini Masawe mkuu?Kama ilitoka jana tarehe 4 basi itakuwa ni typo ila kama walitoa tar 3 inabidi Massawe azidi kubanwa.
Kafanyaje yuhu Masawe mkuuGilbert Masawe anayo majibu ya maswali yote haya
rubbishNincompoop
Ndiyo system ilivyo hakuna namnaMfumo gani usio rasmi? Kujuana na wakubwa na watoto wa wakubwa? Kuna mahala tutumie akili zetu ingawa sio nyingi kama vileeee
Rest in Peace.MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
Poleni sana!MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
And there is a price we pay for compromising who we areNdiyo system ilivyo hakuna namna
Yes uoga wetuAnd there is a price we pay for compromising who we are