Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu


Naomba tu sasa watawala wakuone! Wamekunyamazia sana Ingawa umeenda very low!
 

 
Bila wasiwasi mitano tena

Magufuli 5 tena 1st [emoji817]

Hapa kijijini ninapoishi,tumekuweka mahema.. ng'ombe na mbuzi wakuchinja.. vinywaji vinafika leo, yaani tunajipa furaha Jumatano hakuna kulima na usafiri wa luxury mabasi.. upendo kijijini hapa, tutakula pati haswa, furaha sana.. chinja tule nyama.. MITANO TENA sisi tulimsikia Magufuli akisema, na asile, kijijini kama town moja kule nje ya downtauni kubwa.
Umeme wa REA na maji bombani muda wote, eeeh

Karibuni mjumuike nasi.. [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
Magufuli oyeeeeeeee
 
Sinaga chama chochote but I serve the realm, my loyalty lies to my country Tized. I don't care nani kaka pale juu kuongoza taifa bali anategemeka na wananchi? Anafanya yale wananchi walotegemea kuyafanya Kipatriot?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Tena ma -mods ebu mpigeni ban mapema huyu 'msaka tonge' mkimuacha adi siku ya uchaguzi ata hack server zote za JF na kutusababishia usumbufu mkubwa, kama mnakumbuka vizuri uchaguzi 2015 JF ilipata misuko suko ya kutosha nadhani huyu jamaa alikuwa na mkono wake
 
Kwanini unasema kuwa wewe ndo 'mwana jf wa kwanza kuwa kada wa chama cha siasa?'

Kwa taarifa yako hufai kuwa hata kiongozi, unatafuta uteuzi, unajipigia chapuo!

Hahaaaa!
 
Acha ndoto hizo! Hata kwenye ubunge ulijua utashinda, mwisho wake ukaambulia kura moja.
 
We lisukuma njaa unaaibisha wasukuma wachache wasio wanafiki.Huna lolote hapa unaweza kuteuliwa tu.
 
Nasubiri utakapo kuwa wa Kwanza kuuza moja ya bike yako Kwa mwanajamii Forum mwenzako.
 
Paskal. Nunua eneo pembeni ya jiji la dar Anza ufugaji wa kuku na kitimoto. Unatumia nguvu zako vibaya na umri ndo hio unakutupa mkono.
 
Kwa ujinga mnaoufanya msijigambe wala kujimwambaf yakwamba mtashinda Kwa ushindi WA kishindo wakati hamna uwezo huo. Usenge wenu huu mnaoufanya msijelaumu mtu jilaumuni nafsi zenu.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Chaguzi zetu ni kuendelea kujididimiza kwenye umasikini tu. Hata watu wasipoenda kabisa kupiga kura, kuna watu watashinda kwa kishindo.

Nafikiri safari hii wameamua kutorudia kosa la uchaguzi uliopita, walijikita zaidi bara wakasahau visiwani kuja kushtuka maji yapo shingoni, ikabidi Jeicha apindue meza hekaluni.

Safari hii kidogo mmejaribu kuweka siku mbili Visiwani mmalize biashara mapema nguvu ielekezwe Bara.

Tahadhari tu mzingatie kanuni za hesabu isijekujirudia kura za chama kinachotangazwa mshindi kinazidi waliojiandikisha.
 
Tundu Lisu anaondoka kwenda Ulaya baada ya Uchaguzi, akifika huko atajitangaza mshindi wa Uchaguzi na Raisi wa JMTZ na kuunda Baraza lake la Mawaziri, haikuwa bahati mbaya Mbowe kusema atakuwa Waziri Mkuu baada ya Oktoba 28, sasa sijui wamejipanga vipi (chadema) lkn nijuavyo mimi ni Uhaini na adhabu yake ni Kifo.
 
Nimeipenda sana hii.
Kabisa kabisa unasupport ujinga. Ah ah chadema bana akili zenu mnazijua wenyewe. Hivi unadhani hapo angemwagwa mavi huyo mrusha mawe kuna atakayeingilia kati ah ah endeleeni tu mjue kwanini George floyd aliuliwa marekani na hamna nchi iliyosema chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…