Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

Huyu bwa mdogo Pascal Mayalla bado hajakata tamaa anadhani MEKO atamvuta wakati jua limesha zama na meko anarudi CHATO
 
Nakumbuka zamani nikiwa mdogo kipindi naishi magomeni Mwembechai kulikuwa na Mwendawazimu mmoja anaitwa Mayalla. Enzi hizo za binti Chakuringa na Majambo. Umenifanya nimkumbuke leo na ile tabia yake ya kupita kwenye maji machafu.
 
Pasco neno lako likitimia basi nakuombea angalau uwe mkurugenzi wa jiji maana umefanya kazi iliyotukuka
 
Voice from within sio kila mara inasema kweli
Mfano
Ilikuambia ukachukue fom kawe lakini unakumbuka kilichokukuta?
 

Basi labda wewe pamoja na Familia yako mtakuwa na matatizo na Serikali ya CCM, lkn usitake kufanya matatizo yako yawe ya Watanzania wote, ...
 
Usituletee huo ubashiri wako, ambao kila mtu anajua umeegemea kwenye ukereketwa wa Chama chako cha CCM
Acheni ujinga nyie CDM. Mnafikiri kuna mshabiki yoyote wa CDM ambaye atandika humu JF kwamba JPM atashinda uchaguzi? Hivyohivyo kwa washabiki wa CCM ndani ya JF hawezi kusema CDM itashinda Urais. Sasa mnachotakiwa kukubali ni kwamba muwe wavumilivu kusikia maoni au mawazo ya wapenzi JPM wakitoa maoni yao kama vile ambavyo nyie mjazavyo msg ndani ya hi forum kwa kumpigia debe Mbelgiji Lisu. Ova.
 
Sindano imekuingia unabweka, kweli Mayalla wewe umetisha, unaona mapovu yameanza. Jiwe kizani wengi watajitokeza na mapovu.
 
Mkuu P hujakamilisha record yako.

Wewe ndio mwandishi wa kwanza kum-snitch mwandishi mwenzio Kabendera hadi kumpa mateso, ukata na ukapelekea kifo cha mama yake.

Pia, ulikuwa mwandishi wa kwanza kutaka kumchoma Maxence kwa kujifanya unataka/unatamani kumsindikiza Marekani kupokea tuzo kumbe unataka kumpeleleza ili umchomee kwa mamlaka kama Kabendera. Uzuri Mungu alikupa upofu katika hili na akamlinda Maxence.
 
Yale maswli yako uliyomuuliza kipindi kile alikujibu naonauna mpigia chapuo jiwe
Ila siyo raisi kiivyo huyo wenda wazimu kushinda
Sisi tupo na uhuru haki na maendeleo
 
Namba 14 iko wazi ulishaonesha kutokuwa na imani na jiwe na kimetokea na kinachofanya tulio against na regime ya jiwe tusikubaliane nae kwenye maaumuzi ni kutokana na Tania yake ya kila kitu yeye ! Wewe ni mwandishi mkongwe utakubaliana na Mimi jinsi kila sekta ilivyotiwa kwapani na jiwe nyie waandishi ndio kabisa haipiti miezi 6 tcra hawajakishushia mvua chombo cha habari!

Yote hayo ni sababu ya order za Mtu mmoja! Haiwezekani wewe kils siku unataka watu wakusufie hakuna hicho kitu duniani ! Katiba mbovu na dhaifu imetufikisha hapa kama mwalimu alipokosea kutuachia katiba hii na ndio ambavyo mwaka 1982 aliona kabisa kuna mtu atakuja kujivika "umungu" kwa madhaifu na dezo za hii katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…