Lijualikali ataishi kwa kutangatanga sana, laana ya kuwasaliti wananchi Wa kilombero haitamuacha salama
kwani aliyemtuma kuhama anasema je wakuu
Atulie tu haraka haraka haina baraka! Subira ya vuta heri! Ale pensheni, akiendelea hivi, tutamskia anagombea ujumbe wa nyumba kumi hukoHabari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
Nakubalina na wewe mkuuKina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.
Siku hizi Subira havuti heri, anavuta bangi mlamu!Atulie tu haraka haraka haina baraka! Subira ya vuta heri! Ale pensheni, akiendelea hivi, tutamskia anagombea ujumbe wa nyumba kumi huko
Kwa vile kilimo ndo kazi ya hovyo mno au vipi, sisi walaji pia tunastahili kilicho bora.hata kama ni mimi sikupi hata hizo tano, maana malengo yako hayakuwa udiwani, malengo ya udiwani ni maleko kurupuko. huwezi kumkabidhi kata mtu wa namna huko. Akiwa anafanya kazi akiona wenzake kule wanaendesha maV8 presha inashuka huku wananchi tunakosa huduma zake.
akalime tu
Angekuwa demu angekuwa bonge la dangaaDuuuh mbona yuko na tamaa sana.
hahahahhahaKwa vile kilimo ndo kazi ya hovyo mno au vipi, sisi walaji pia tunastahili kilicho bora.
cc: miminimkulimaakachekasana
Kwani kila anayegombea kazima apate? Kama angebaki CDM na kisha kushindwa vibaya kura za maoni badi mngempitisha?Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
Dah! Mkuu wewe hatari sanakama kuna kitu anauza ili aboost mtaji ktk ujasilimali wake anistue
Na kujiona mtoto wa mjini!Kilichomtoa ni kitu kidogo sana. Aliona kuacha Posho za siku 14 za kukaa karantini ni kosa kubwa sana, akheri agombane na Viongozi wake kuliko kuachia hizo Posho.
sio mimi mkuu, wajumbe wa awamu ya tano ni hatari zaidiDah! Mkuu wewe hatari sana