Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
Atulie tu haraka haraka haina baraka! Subira ya vuta heri! Ale pensheni, akiendelea hivi, tutamskia anagombea ujumbe wa nyumba kumi huko
 
Kina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.
Nakubalina na wewe mkuu
 
Atulie tu haraka haraka haina baraka! Subira ya vuta heri! Ale pensheni, akiendelea hivi, tutamskia anagombea ujumbe wa nyumba kumi huko
Siku hizi Subira havuti heri, anavuta bangi mlamu!
 
hata kama ni mimi sikupi hata hizo tano, maana malengo yako hayakuwa udiwani, malengo ya udiwani ni maleko kurupuko. huwezi kumkabidhi kata mtu wa namna huko. Akiwa anafanya kazi akiona wenzake kule wanaendesha maV8 presha inashuka huku wananchi tunakosa huduma zake.

akalime tu
Kwa vile kilimo ndo kazi ya hovyo mno au vipi, sisi walaji pia tunastahili kilicho bora.

cc: miminimkulimaakachekasana
 
Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
Kwani kila anayegombea kazima apate? Kama angebaki CDM na kisha kushindwa vibaya kura za maoni badi mngempitisha?
Kuhama CDM hakuna uhusiano na kushindwa kwake kura za maoni. Wewe furahi mbaya wako ameshindwa basi.
 
Kilichomtoa ni kitu kidogo sana. Aliona kuacha Posho za siku 14 za kukaa karantini ni kosa kubwa sana, akheri agombane na Viongozi wake kuliko kuachia hizo Posho.
Na kujiona mtoto wa mjini!
 
Back
Top Bottom