Mwanachama Bora Jamiiforums 2022

Tabaraka Allah .
 
Hongera sana mzee wangu endelea kuwepo humu mjengoni ninafurahia sana thread zako za historia asante sana
 
Ukitoa udini mkali, labda ungekuwa mbali zaidi.
 
Ukitoa udini mkali, labda ungekuwa mbali zaidi.
Pay...
Ikiwa huwajui wenye udini soma kitabu cha Abdul Sykes Sehemu ya Tatu: "Njama Dhidi ya Uislam."

Hii ni sehemu inaeleza waliyofanyiwa Waislam wa Tanganyika waliopigania uhuru kwa hali na mali.

Unatumia kipimo gani kuniona siko mbali?
 
JF nao sasa wameanza kupwaya, sasa huyu mzee ndio apewe uana chama bora? Si bora wangempa haya mpwanyungu village,

Nb: JF mtupe nafasi sisi wanajf tupige kura ya kuchagua mwanachama bora.
 
Pay...
Ikiwa huwajui wenye udini soma kitabu cha Abdul Sykes Sehemu ya Tatu: "Njama Dhidi ya Uislam."

Hii ni sehemu inaeleza waliyofanyiwa Waislam wa Tanganyika waliopigania uhuru kwa hali na mali.

Unatumia kipimo gani kuniona siko mbali?
Nani alikwambia ni waislamu tu walipigania uhuru wa Tanganyika? Wachaga nao tunaowabagua tena waziwazi na wao waanze kuandika na kulialia? Mlitaka zawadi labda au mli overexpect sana, au mlijua nchi itakuwa ya kidini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…