Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
NI VIFUNGO vinakuandama. Unatumikishwa kwenye uchawi na wewe wala huna habariHata kwenye keyboard unadhani yapo? Yaani yatabaki ndotoni tu. Ila mi ndo naenjoy kuwa na roho mbaya...sijui kwa nini. Mi labda mchawi ila sijijui.π
Na ukijifanya unakihere here Cha kumpelekesha anakuroga maana yeye ndo rejendi wa JF ππMbaya zaidi muendelezo wa story analeta kwa kujisikia
Aiseee.... Hapo inakuwa hatari sana.... Ila ndo umenipa habari basi nashukuru ili sasa niwe nafanya huku najua.....π€£NI VIFUNGO vinakuandama. Unatumikishwa kwenye uchawi na wewe wala huna habari
Bwege yule si kuna watu wanambabaikia hasa mademu so anajiita super star...Mbaya zaidi muendelezo wa story analeta kwa kujisikia
We mwache tu......πNa ukijifanya unakihere here Cha kumpelekesha anakuroga maana yeye ndo rejendi wa JF ππ
Kama unataka tukufanyie majaribio leta majina yako kamili na picha yako au kipande cha Chup,gagulo au boxer.Kwa hiyo ukaamini kwenda kuroga Bagamoyo ndiyo kumemfanya jamaa awe mlevi?
Sana.....hawafai....Wanga watu wabaya sana
Mpemba na Mmatumbi.We ni mtu wa wapi tena?π€£
Sana..... Unaishi wapi nije kukutembeleaKwa Imani ya dini yangu kabla ya kulala usiku huwa tunaomba kwa kumwambia Mungu
"Na unikinge na Shari ya hasidi anapo husudu"
Mahasidi wenyewe ndo watu kama wewe kweli dua ni muhimu sana
What goes around comes around.Karma is real
unaoneaje wivu mwanaume mwenzako kisa anafanya kazi kwa bidii,badala mjifunze kwann yeye anafanya kazi kwa bidii nanyi muongeze bidii mnakalia kuwaalibia maisha wenzenu,pumbaf kabisaHapana. Hautakuwa umekosea hata kidogo. Unajua tushawahi kuitwa majina mabaya kuliko hilo lako.
ni aibu sana kwa mwanaume mwenye nguvu zake kumuonea wivu mwanaume mwenzako ametumia akili na nguvu zake vizuri kupata ugali wake na familiaItakuwa Ni hz kampuni za kitapeli anafanyia Wala msiogope
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tangazo la mgangaHuyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye. Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye.
Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara, yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.
Tukakaa wenyeji, tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi, jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.
Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa fulani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.
Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe, anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.
Tukamwekezea na majungu kinyama, akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.
Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa Zanzibar, tumekaa Tanga... tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya wewe ndio unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe. Huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Jamaa unazidi kuwachonganisha πππMbaya zaidi muendelezo wa story analeta kwa kujisikia
Sawa.Kama unataka tukufanyie majaribio leta majina yako kamili na picha yako au kipande cha Chup,gagulo au boxer.
Hahahaha nimecheka sanaTunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa katika hospital yetu ya crazy for life.
Ndugu Chizi Maarifa ,alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu ya ofisi
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni
Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2469207
Kwa Roho mbaya, unaongoza! Inakusaidia nini?Aiseeee..... Nina toto moja la kiume lilinishikia kisu nikalishikia shoka....moto uliwaka. Midada yake mitatu inazagaa zagaa tu na vitoto vyao....