Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

Kwa Imani ya dini yangu kabla ya kulala usiku huwa tunaomba kwa kumwambia Mungu
"Na unikinge na Shari ya hasidi anapo husudu"

Mahasidi wenyewe ndo watu kama wewe kweli dua ni muhimu sana
Sana..... Unaishi wapi nije kukutembelea
 
Sa ndo mkapata faida gan? Kumbe Bongo wachawi hivii?
 
Hapana. Hautakuwa umekosea hata kidogo. Unajua tushawahi kuitwa majina mabaya kuliko hilo lako.
unaoneaje wivu mwanaume mwenzako kisa anafanya kazi kwa bidii,badala mjifunze kwann yeye anafanya kazi kwa bidii nanyi muongeze bidii mnakalia kuwaalibia maisha wenzenu,pumbaf kabisa
 
Tangazo la mganga
 
Haya Mambo yalishanitokea .
Baba yangu aliniambia kuwa kazini ni sehemu ya kazi Tu usilete mazoea na kazi. Ila Fanya kazi yako inavyostahiki.
Nilitembea na maneno ya mzee kichwani kwangu , HOD wangu alinielewa Sana for sure nilitengeneza Sana hela by then.
Lakini nilikutana na watu dizaini ya huyu mleta Uzi sijui hata nini kilitokea mara Boss wangu akawa ananifokea Tu bila sababu za msingi. Hatuelewani sehemu ambayo mwanzo ananielekeza friendly akawa ananichapa email kama onyo na ana cc HR office.
End of the day nilikuwa terminated Kwa kazi Kwa kisingizio kuwa I was underperformance.
Nililipwa stahiki zangu ila nilichukia kuajiriwa Sana . Ukimpiga chura teke unamuongezea hatua.

Kwa mujungu Yao Leo nilipo sio pale nilipokuwa wakati ule. Na huenda yasingenikuta Yale ningekuwa pale naendelea Tu kupewa sifa na HOD na tuzo za ufanyakazi Bora.

Roho mbaya na majungu hufanywa na watu wasiotimiza majukumu Yao sehemu za kazi.
 
Hahahaha nimecheka sana
 
Aiseeee..... Nina toto moja la kiume lilinishikia kisu nikalishikia shoka....moto uliwaka. Midada yake mitatu inazagaa zagaa tu na vitoto vyao....
Kwa Roho mbaya, unaongoza! Inakusaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…