TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Yaani hapo kwenye "matusi yasiyo na mpangilio mbwa weee"; maskini i can feel you.

Kuna siku binamu alianza kuchamba kwa kinge; tulimkoma binamu na mashauzi yake. Kinge kimenyoooka
 
Yaani hapo kwenye "matusi yasiyo na mpangilio mbwa weee"; maskini i can feel you.

Kuna siku binamu alianza kuchamba kwa kinge; tulimkoma binamu na mashauzi yake. Kinge kimenyoooka
Alikuwa anaweza kutukana mtu kaunganisha kiberiti na kilimo cha matikiti mpuuzi yule.

Yesuuuu, naumia mimi.
warumi anachambana na watu thread nzima na mnachoka mnamuacha.

Akianzisha thread ni mpk mwisho anayo.
Anajibu every comment.
Every tusi,
Every support,
Every updates za umbea.
Halafu no hard feelings.
We una povu mwenzio karelax.

Daaaaah, kifo shikamoo
 
Oh Jamani[emoji26][emoji26][emoji26]
Duniani si petu.
 
Utamsikia "mbwa nyie hamniwezi, mimi ndiyo Warumi". Sad
 
Na neno lake "mji mzito huu"
Duniani tunapita Ankoo, Mungu atujaalie uthabiti kuyashinda ya dunia.
Jioni nitasogea maeneo ya nyumbani Nonde
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…