TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Yaani hapo kwenye "matusi yasiyo na mpangilio mbwa weee"; maskini i can feel you.

Kuna siku binamu alianza kuchamba kwa kinge; tulimkoma binamu na mashauzi yake. Kinge kimenyoooka
warumi YOU LEFT A LEGACY kule Celebrities.

Umeniuma mdogo wangu.
Dah.
Pumzika Binamu.
Nimemiss matusi yako yasiyo na mpangilio mbwa wewe.kwa nini sasa jamani![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Uuuuwih
 
Yaani hapo kwenye "matusi yasiyo na mpangilio mbwa weee"; maskini i can feel you.

Kuna siku binamu alianza kuchamba kwa kinge; tulimkoma binamu na mashauzi yake. Kinge kimenyoooka
Alikuwa anaweza kutukana mtu kaunganisha kiberiti na kilimo cha matikiti mpuuzi yule.

Yesuuuu, naumia mimi.
warumi anachambana na watu thread nzima na mnachoka mnamuacha.

Akianzisha thread ni mpk mwisho anayo.
Anajibu every comment.
Every tusi,
Every support,
Every updates za umbea.
Halafu no hard feelings.
We una povu mwenzio karelax.

Daaaaah, kifo shikamoo
 
Utamsikia "mbwa nyie hamniwezi, mimi ndiyo Warumi". Sad
Alikuwa anaweza kutukana mtu kaunganisha kiberiti na kilimo cha matikiti mpuuzi yule.

Yesuuuu, naumia mimi.
warumi anachambana na watu thread nzima na mnachoka mnamuacha.

Akianzisha thread ni mpk mwisho anayo.
Anajibu every comment.
Every tusi,
Every support,
Every updates za umbea.
Halafu no hard feelings.
We una povu mwenzio karelax.

Daaaaah, kifo shikamoo
 
Daah andjul ali-like comment yangu kwenye uzi wa zamani wa Warumi. Mmh ile nafungua naona RIP kwenye ID ya Warumi; nikakukumbuka ghalfa. Kwa kweli mmepitia mengi na Warumi kwenye hekaheka za umbea. Nakumbuka enzi zile mnachambana na Matola;Warumi anachanganyikiwa na vichambo hadi anajiquote mwenyewe.

Evelyn Salt unakumbuka binamu alivyoenda kulala kwenye msiba wa Marehemu Kuambiana ili tu kutuletea ubuyu? Daah binamu yetu maskini
Na neno lake "mji mzito huu"
Duniani tunapita Ankoo, Mungu atujaalie uthabiti kuyashinda ya dunia.
Jioni nitasogea maeneo ya nyumbani Nonde
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom