Amen!Mola ampumzushe kiumbe wake
Masikini. Haya magonjwa unaweza hisi yanawapata walioenda age kumbe hata vijana. Bado mdogo kabisa masikini. DaaaahAmefariki jana saa 4.
Figo figo figo imemuondoa binamu wetu.
mkuu mbn humu JF tunafahamiana wengi tu ni wewe tu km utaamua kuishi safi na wengneWe mleta mada ulimjuaje wakati mi kwa sura namjua Pascal Mayala na mkurugenzi wa jf pekee? Yaani mpaka ukamjua dada yake? Kwa hiyo nikienda msibani naweza kukuona 'amu'?