TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Kwamba alienda kuchungulia dirishani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥺🤣🥺🥺🤣🥺🤣🥺🤣🥺🥺🤣🥺🤣🥺😭🥺😭🥺😭🥺🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🤣🥺😭🥺😭🥺🥺😭🥺😭🥺🥺😭.

Hakyamama.
Warumi nyoko zako popote ulipo nyau wewe
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭!!
Siku kaenda kulala msibani nilicheka, msiba wa Adam kuambiana katafuta nyumba ya msiba hadi kaipata kaenda kulala ili apate umbea
 
Daaaaah!!!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.

Warumi alikuwa kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 29.

Taarifa hii nimepewa na dada yake mda huu, msiba unaelekea kwao Tegeta .


UPDATE:
Msiba upo Tegeta Nyuki, ukifika Stand unachukua boda au bajaj unawaambia wakupeleke nyumbani kwa Kiboko, maana msiba upo opposite na utaona geti jeusi liko wazi - ingia.

Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya, Nonde Mabatini. Mipango inapangwa, taarifa zaidi zitakuja jioni.
iiiiiiiiiii jmn Warumi 😢
 
Ni huzuni kwetu sote na hatukutegemea kupata taarifa hii, labda tungeweza kumsaidia lakini yaliyopita si ndwele.

Lakini je, ni nani ataweza kuvaa viatu vyake? Kwa kweli tuzidi kumuombea mwenyezi Mungu amlaze mahali anapostahili.

~Raha ya milele umpe ee bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani. Amen.

Tutakukumbuka daima Mr.

" MJI MZITO HUU..!" by warumi

R.I.P commander!✊👮
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom