Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina dhambi nimemwamini Yesu.Aiseeee[emoji848][emoji848]
Wewe hapo ulipo ni msafi sana, kiasi kwamba huna dhambi ya kizembe?
Ila binadamu kwa kuhukumu[emoji1751][emoji1751][emoji1745]
Job 6:24We lete hashuo za ng'onda.
Endelea.
Alijuaga kumnanga Lucy wa watu[emoji28][emoji28][emoji28]gauni kama la kominio, Lucy akasuka na rasta tena mabutu makubwa makubwa weeee, binamu weee UPEPEDaah mnakumbuka kipindi kile Lucy Komba ndiyo kafunga ndoa na mzungu wake, kavaa gauni kama anapata komunio, na akaingia na Samsung yake kwenye boat. Jamani zile comments
Acha tu.Mpk we umerudi.
Kweli Warumi is no more.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Dawa ya vitu vingi sana, hasa kutapisha nyongo, sumu n.kUkinywa hii siki inasaidia nini? Kwa nini watu wa nakunywa??
Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.
Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Umejuaje?Jamani kumbe alikuwa ni mwanaume, ndio nimeijua leo hii habari, RIP kamanda!
Alijuaga kumnanga Lucy wa watu[emoji28][emoji28][emoji28]gauni kama la kominio, Lucy akasuka na rasta tena mabutu makubwa makubwa weeee, binamu weee UPEPE
Kweli binamu kakufa, leo nawaona wakongwe kibao wa JFKha sasa wewe mleta mada Kwanini unamzushia mtu kifo bila kuwa na uhakika
Mimi sio mtoa mada ni mchangiaji tu kama wewe,mtoa mada ni mwingine aliyeleta taarifa za kifoKha sasa wewe mleta mada Kwanini unamzushia mtu kifo bila kuwa na uhakika