TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

Pole Sana kwa familia, Mwenyezi Mungu awape Faraja katika kipindi hiki kigumu.😢
 
Kuna haja ya watu wengi kujuana na kutojificha kwenye I'd fake hizi

RIP
 
Duh kumbe mnajuana kabisa humu , eeeh , maana wengine credentials zao anonyimous sasa napata tabu sana kujua mnapataje taarifa kwamba mtu ana jina la mti kawek avater ya kikaragosi, how akifa mnajua?
 
Duh kumbe mnajuana kabisa humu , eeeh , maana wengine credentials zao anonyimous sasa napata tabu sana kujua mnapataje taarifa kwamba mtu ana jina la mti kawek avater ya kikaragosi, how akifa mnajua?
Mbona watu wanaonana humu mzee
Hadi wachumba,wake,waume washatengenezwa kupitia jf

Ova
 
RIP in this situation sioni ubaya wa disclose her identity for reference.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…