TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

Poleni Sana mlioguswa na msiba huu,, apumzike kwa amani
 
Rest easy mdada. Njia yetu sote.

-Kaveli-
 
Nyie mnaofahamiana nje ya JF huwa mnawezaje kupotezea watu wanaojifaragua ufahari humu ndani ilhali mnawajua ni "tiamaji tiamaji" in real life.

Kwangu hii issue ni UCHURO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…