Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Definitely my dear. Sisi tuombe tu uzimaHakika.
Huwa nakufuatiliaga sana taratibu.utakuwa mwanamke wa kwanza tangu kujiunga Jf kufahamiana nae..mwingine Heaven Sent yes you hs..
Pole mkuu Ila unatuchanganya au zilivyotajwa ARV kwenye attachment !!Apumzike kwa amani mwali, naombeni mnipe pole...[emoji25]
Alianza kumtumia arv akiwa na miaka 17Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Ni kweli kabisa ndugu yangu hakuna mtu ninaye fahamiana naye nje ya hapa ambaye likitokea lolote anaweza kuleta taarifa humu.!!Yani mtaani hakuna mtu anayekujua kua we ni member wa jf kwa ID hii?
Hata mimi niko hivyo hivyo
Ila kwa wewe haitanipa sana shida kujua
Nikiona ukimya kwa muda mrefu kwenye jukwaa la michezo na katika kipindi ambacho simba kafanya vizuri ntaanza kuwa na mashaka
Waliposema tangu alipozaliwa anatumia ndipo waliponichanganya, kwamba kazaliwa miaka 17 iliyopita?Miaka 17 ya kutumia dawa ndugu...
Kitambo huu ugonjwa ulikuwa na stigma sana familia zilikuwa zinaficha taarifa hata dawa wengine ilikuwa mbinde kuchukua... haiyumkini kwenye makuzi yake ya awali hata hakuwa akijua shida yake, hadi hapo baadae alipojielewa na kulichukua swala la kunywa dawa kama jambo lenye muendelezo (hapo ndio msingi wa hiyo miaka 17 ya kunywa dawa)
Tulikuwa wote 841 KJ nitaishia hapo.Mimi ninatoa zawadi kwa mtu atakeye nifahamu mimi ni Nani
Dah nimeogopa mkuu haya mambo ya kuzama bobo [emoji26]Multiple organ failure itakuwa imemuondoa binti mbichi kabisa huyu, prolong use of ARV ziliathiri figo kwa kiasi kikubwa.
All in All nikikumbuka nilivyoponea kuambukizwa HIV na memba mmoja wapo humu ndani nikaponea chuchupu hadi sasa sitaki tena kuzamia PM za watu humu ndani (Hiki ni kisa nitakileta kwenu siku yoyote nikipata nafasi) mfahamu ni kwa jinsi gani baadhi ya watu hufanya makusudi kuambukiza watu wengine.
All in all Ukimwi upo na unaua chukua tahadhari.
Apumzike kwa Amani. Poleni Wafiwa na RIP JikeshupaApumzike kwa Amani.
..Pole wafiwa.
Subiri muda wako utafikakifo ni siri nzito sana wangekua wanarudi wangetusimulia roho ikiacha mwili nini kinaendelea huko mbele ya safari R.I.P