TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Aiseeh Mungu akulaze pema peponi kamanda wetu mohamed mtoi tutakukumbuka daima
 
Last edited by a moderator:
Yaani hata siamini kabisa....daahhhh yaani ni dakika tu, unabadilika unaitwa marehemu duuuhhh...ngumu
 
Innallillah wa Innallillah Rajyun...

Hizi ni habari za kusikitisha. Kwa vile nilivyomfahamu, alikuwa ni mtu mwema. Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wakati huu mgumu familia yake.

Tutakukumbuka kaka. So Sad...
 
R.I.P kamanda mara ya mwisho tulionana kwenye uziduz wa kampeni pale Jangwani kumbe ndo tulikuwa tunaagana
 
Nikiwa kama mwanaJF mkongwe naamua kuomboleza kifo cha mwanaJF mkongwe na mzalendo ndugu Mohamed Mtoi kwa kutopost chochote kwa siku tatu!

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!!

RIP MTOI!!
 
R I P kamanda Mohammed Mtoi, mwenyezi Mungu akupumzishe mahali alipokuandalia.
47H8o_E9_400x400.jpeg
 
Sad. Mola akuweke mahali pema peponi. Poleni wana familia.
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupita chama cha Demokrasia na Maendeleo Mohamed Mtoi kufarijika leo kwa ajali akitokea kwenye kampeni za Ubunge huko Lushoto. Ni kada wa CHADEMA wa muda mrefu sana, amejitoa kwa moyo wake wote kujenga chama. Hakika Kamanda katutoka akiwa bado ana nguvu nyingi za kulitumikia Taifa la Tanzania.

Nasema kuwa Mbele yako. Nyuma yetu kamanda.

R.I.P Kamanda Mtoi.

Wanajamii Forum na Watanzania tutauthanini mchango wako siku zote.
 
Back
Top Bottom