Mwanadada anaefanya kazi melini anaeleza faida na changamoto anazopitia

Mwanadada anaefanya kazi melini anaeleza faida na changamoto anazopitia

Nilichogunduwa huyo baharia wa kike ni mwongo,
Kuna baadhi ya maneno anadanganya.,
Au pengine mleta mada kaongeza sukari na kuifanya iwe chai.

Amesema yupo kwenye meli ya abiria,
Tena yenye swimming pool
(cruise ship).

Swali langu ni yeye alikuwa ni mtu wa engine au deck?

Haiingii akilini kusema alikuwa anasafisha oil engine room,

Halafu tena anakwenda kwenye rooms za abiria kusafisha..

Hayo ni majukumu 2 tofauti.
Mtu wa engine huwezifanya kazi za watu wa deck.

Na deck seaman huwezifanya kazi za engine.

Alikuwa kwenye meli kubwa na ina Mabaharia waliokamilika na wanaojuwa majukumu yao..

Kazi ya kusafisha engine room ni kazi ya Oilers.

Kazi ya usafi wa meli ni Kwa ujumla ni deck AB.
Itakuwa mtumbwi huo.
 
Hii ya wapenzi wa jinsia moja kuna dada alifanya kazi hotelini pia alinipa Hadith’s kama hii. Tena ukutane wale matajiri wamesha vuta cocaine wanaacha uchafu wa kila aina mpaka mikojo.

Basi ibilisi kawakamata akili na kuwatesa sana.

Mtu tu akitoa ushuzi mnavyoshika pua na kukasirika.

Sasa ulale na kinyesi na mikojo usiku mzima, khaaa.
 
Kwa watu wa jinsia moja kinyesi Ni aphrodiasic. Ni Kama wewe unavyopata mzuka ukisikia kale ka harufu ka K, sio ile harufu ya papa, no. Harufu og ya K.
Sio Aphrodiasic Boss, ni Aphrodisiac
 
Nilichogunduwa huyo baharia wa kike ni mwongo,
Kuna baadhi ya maneno anadanganya.,
Au pengine mleta mada kaongeza sukari na kuifanya iwe chai.

Amesema yupo kwenye meli ya abiria,
Tena yenye swimming pool
(cruise ship).

Swali langu ni yeye alikuwa ni mtu wa engine au deck?

Haiingii akilini kusema alikuwa anasafisha oil engine room,

Halafu tena anakwenda kwenye rooms za abiria kusafisha..

Hayo ni majukumu 2 tofauti.
Mtu wa engine huwezifanya kazi za watu wa deck.

Na deck seaman huwezifanya kazi za engine.

Alikuwa kwenye meli kubwa na ina Mabaharia waliokamilika na wanaojuwa majukumu yao..

Kazi ya kusafisha engine room ni kazi ya Oilers.

Kazi ya usafi wa meli ni Kwa ujumla ni deck AB.
Huyu alikua AB ila kuna ile kujiongeza ili upate more money mdau
 
Nilisoma kutoka kwenye gazeti, dada mmoja anasimulia changamoto anazopitia katika ajira yake kama mhudumu wa meli. Alianza kazi akiwa na miaka 22 na amedumu katika ajira hii kwa miaka 10.

Kazi inakupatia malazi na chakula bure. Siku unazolipa kodi ya nyumba ni siku ukiwa likizo. Anasema ameishi kwa miaka 10 bila kulipa kodi ya nyumba wala kununua chakula. Akiwa likizo ni rahisi kwake kukaa hotelini kuliko kuanza kutafuta nyumba.

Changamoto ya kwanza huyu mwanamke alieleza ni kushindwa kudumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu. Huyo boyfriend atakae kusubiri mwaka mzima mpaka uwe likizo na awe na mipango endelevu na wewe ni shida kumpata.

Changamoto ya pili ni abiria wa kiume kutongoza hasa wakati wa usiku wanapotafuta mtu wa kuua nae usiku. Tatizo wengi ni waume wa watu na wanakueleza kabisa taja bei yako lakini no strings attached. Ukizingatia mkiwa baharini hawawezi kupiga simu wampate mdangaji.

Kuna kusafisha sehemu ya engine na kutoa mafuta machafu. Anasema hii kazi ukiifanya ukiwa Caribbean au Bahamas ni raha tupu. Usiombe uifanye wakati wa Kipupwe na meli iko Norway.

Moja ya majukumu ni kufanya usafi katika meli. Anasema kuna wanaoacha kinyesi kwenye swimming pool. Kusafisha vyumba vya wapenzi wa jinsia moja hasa wanaume ni shughuli nzito, unaweza kukuta kinyesi kutoka chumbani mpaka chooni na shuka zimejaa kinyesi.

Ameeleza haya kwakua anaacha kazi sasa ili aanze maisha ya familia.
Nilisoma kutoka kwenye gazeti, dada mmoja anasimulia changamoto anazopitia katika ajira yake kama mhudumu wa meli. Alianza kazi akiwa na miaka 22 na amedumu katika ajira hii kwa miaka 10.

Kazi inakupatia malazi na chakula bure. Siku unazolipa kodi ya nyumba ni siku ukiwa likizo. Anasema ameishi kwa miaka 10 bila kulipa kodi ya nyumba wala kununua chakula. Akiwa likizo ni rahisi kwake kukaa hotelini kuliko kuanza kutafuta nyumba.

Changamoto ya kwanza huyu mwanamke alieleza ni kushindwa kudumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu. Huyo boyfriend atakae kusubiri mwaka mzima mpaka uwe likizo na awe na mipango endelevu na wewe ni shida kumpata.

Changamoto ya pili ni abiria wa kiume kutongoza hasa wakati wa usiku wanapotafuta mtu wa kuua nae usiku. Tatizo wengi ni waume wa watu na wanakueleza kabisa taja bei yako lakini no strings attached. Ukizingatia mkiwa baharini hawawezi kupiga simu wampate mdangaji.

Kuna kusafisha sehemu ya engine na kutoa mafuta machafu. Anasema hii kazi ukiifanya ukiwa Caribbean au Bahamas ni raha tupu. Usiombe uifanye wakati wa Kipupwe na meli iko Norway.

Moja ya majukumu ni kufanya usafi katika meli. Anasema kuna wanaoacha kinyesi kwenye swimming pool. Kusafisha vyumba vya wapenzi wa jinsia moja hasa wanaume ni shughuli nzito, unaweza kukuta kinyesi kutoka chumbani mpaka chooni na shuka zimejaa kinyesi.

Ameeleza haya kwakua anaacha kazi sasa ili aanze maisha ya familia
Nilisoma kutoka kwenye gazeti, dada mmoja anasimulia changamoto anazopitia katika ajira yake kama mhudumu wa meli. Alianza kazi akiwa na miaka 22 na amedumu katika ajira hii kwa miaka 10.

Kazi inakupatia malazi na chakula bure. Siku unazolipa kodi ya nyumba ni siku ukiwa likizo. Anasema ameishi kwa miaka 10 bila kulipa kodi ya nyumba wala kununua chakula. Akiwa likizo ni rahisi kwake kukaa hotelini kuliko kuanza kutafuta nyumba.

Changamoto ya kwanza huyu mwanamke alieleza ni kushindwa kudumu kwenye mahusiano kwa muda mrefu. Huyo boyfriend atakae kusubiri mwaka mzima mpaka uwe likizo na awe na mipango endelevu na wewe ni shida kumpata.

Changamoto ya pili ni abiria wa kiume kutongoza hasa wakati wa usiku wanapotafuta mtu wa kuua nae usiku. Tatizo wengi ni waume wa watu na wanakueleza kabisa taja bei yako lakini no strings attached. Ukizingatia mkiwa baharini hawawezi kupiga simu wampate mdangaji.

Kuna kusafisha sehemu ya engine na kutoa mafuta machafu. Anasema hii kazi ukiifanya ukiwa Caribbean au Bahamas ni raha tupu. Usiombe uifanye wakati wa Kipupwe na meli iko Norway.

Moja ya majukumu ni kufanya usafi katika meli. Anasema kuna wanaoacha kinyesi kwenye swimming pool. Kusafisha vyumba vya wapenzi wa jinsia moja hasa wanaume ni shughuli nzito, unaweza kukuta kinyesi kutoka chumbani mpaka chooni na shuka zimejaa kinyesi.

Ameeleza haya kwakua anaacha kazi sasa ili aanze maisha ya familia.
Duh! Kweli kila kazi haikosi changamoto! 🤔
 
Unamwonea Sky Eclat hawezi kudanganya wala kuweka chumvi naamini hilo ila msemaji ndolabda kaweka chumvi au hajaweka siwezi kujua maana kufanya majukumu mawili tofauti inategemeana na idadi ya wafanyakazi
Mkuu kazi za ubaharia zina principles zake

AB
anafanya kazi zote za deck ktk meli..
--listen to radio
--Watch keeping.
--switch on/off lights
--mooring,
--sounding.
--Steering the wheel.
--cleaning toilets nk.
--Cleaning deck/crew cabins.
--Chipping deck /ship
--Painting deck /ship.

OILERS
Wao wanadeal na engine room na mitambo yote ya kwenye meli.
kazi za engine zinafanywa na watu wa engine.
Watching engine room
Kusafisha engine room
na kusafisha oil na kumwaga.
Repairs zozote za mashine,au umeme nk..

Hawaingiliani kimajukumu

Na order za watu wa engine wanapokea kwa chief engineer/2nd engineer.

Kazi za deck
orders zinatoka Kwa chief officer /2nd officer au captain..

Sasa Hilo suala la yeye kufanya kazi sio zake ,
order alipewa na nani?.

OILER wanasafisha cabin zao wenyewe,
Au meli kubwa kuna ROOM BOY
yeye ndy ana husika na kusafisha cabin za Mabaharia wote na kuwafulia Mabaharia.

Yeye alisafisha cabin za abiria akiwa kama Nani melini?[/I]
 
Mkuu kazi za ubaharia zina principles zake

AB

anafanya kazi zote za deck ktk meli..
--listen to radio
--Watch keeping.
--switch on/off lights
--mooring,
--sounding.
--Steering the wheel.
--cleaning toilets nk.
--Cleaning deck/crew cabins.
--Chipping deck /ship
--Painting deck /ship.

OILERS
Wao wanadeal na engine room na mitambo yote ya kwenye meli.
kazi za engine zinafanywa na watu wa engine.
Watching engine room
Kusafisha engine room
na kusafisha oil na kumwaga.
Repairs zozote za mashine,au umeme nk..

Hawaingiliani kimajukumu

Na order za watu wa engine wanapokea kwa chief engineer/2nd engineer.

Kazi za deck
orders zinatoka Kwa chief officer /2nd officer au captain..

Sasa Hilo suala la yeye kufanya kazi sio zake ,
order alipewa na nani?.

OILER wanasafisha cabin zao wenyewe,
Au meli kubwa kuna ROOM BOY
yeye ndy ana husika na kusafisha cabin za Mabaharia wote na kuwafulia Mabaharia.

Yeye alisafisha cabin za abiria akiwa kama Nani melini?[/I]
Duh Sawa nahodha
 
Nilichogunduwa huyo baharia wa kike ni mwongo,
Kuna baadhi ya maneno anadanganya.,
Au pengine mleta mada kaongeza sukari na kuifanya iwe chai.

Amesema yupo kwenye meli ya abiria,
Tena yenye swimming pool
(cruise ship).

Swali langu ni yeye alikuwa ni mtu wa engine au deck?

Haiingii akilini kusema alikuwa anasafisha oil engine room,

Halafu tena anakwenda kwenye rooms za abiria kusafisha..

Hayo ni majukumu 2 tofauti.
Mtu wa engine huwezifanya kazi za watu wa deck.

Na deck seaman huwezifanya kazi za engine.

Alikuwa kwenye meli kubwa na ina Mabaharia waliokamilika na wanaojuwa majukumu yao..

Kazi ya kusafisha engine room ni kazi ya Oilers.

Kazi ya usafi wa meli ni Kwa ujumla ni deck AB.
Meli ndogo ni oiler lkn meli kubwa ni wiper ndie msafishaj oiler anabak kuwa mbeba spana wa fundi
 
Mkuu kazi za ubaharia zina principles zake

AB

anafanya kazi zote za deck ktk meli..
--listen to radio
--Watch keeping.
--switch on/off lights
--mooring,
--sounding.
--Steering the wheel.
--cleaning toilets nk.
--Cleaning deck/crew cabins.
--Chipping deck /ship
--Painting deck /ship.

OILERS
Wao wanadeal na engine room na mitambo yote ya kwenye meli.
kazi za engine zinafanywa na watu wa engine.
Watching engine room
Kusafisha engine room
na kusafisha oil na kumwaga.
Repairs zozote za mashine,au umeme nk..

Hawaingiliani kimajukumu

Na order za watu wa engine wanapokea kwa chief engineer/2nd engineer.

Kazi za deck
orders zinatoka Kwa chief officer /2nd officer au captain..

Sasa Hilo suala la yeye kufanya kazi sio zake ,
order alipewa na nani?.

OILER wanasafisha cabin zao wenyewe,
Au meli kubwa kuna ROOM BOY
yeye ndy ana husika na kusafisha cabin za Mabaharia wote na kuwafulia Mabaharia.

Yeye alisafisha cabin za abiria akiwa kama Nani melini?[/I]
Labda anazungumzia mv aziza
 
Back
Top Bottom