Mwanadada anaefanya kazi melini anaeleza faida na changamoto anazopitia

Mwanadada anaefanya kazi melini anaeleza faida na changamoto anazopitia

Sasa Kuna raha gani ya kuwa Tajiri halafu unapumuliwa kisogoni au unamchutamisha mwanaume mwenzako na wakati una uwezo wa kuita pisi kali zilizotulia ukazitafuna vizuri tu
Yani kuna watu wamemaliza mwendo vibaya sana, pisi kali zote hizi mtu unaenda kumfyonza mwanaume mwenzake ? daah! ebu wapitie hata uzi ule wa jf photo uzi wa warembo waone
 
Sasa Kuna raha gani ya kuwa Tajiri halafu unapumuliwa kisogoni au unamchutamisha mwanaume mwenzako na wakati una uwezo wa kuita pisi kali zilizotulia ukazitafuna vizuri tu
Maelekezo ya waganga ili aendelee kuwa na mali

#MaendeleoHayanaChama
 
Sio Aphrodiasic Boss, ni Aphrodisiac
Asante boss. Bila Shaka nawewe Ni Kati ya wale wanaume wachache ambao walikua na chupi isiyofuliwa ya girl friend wako ulipokua boarding school kwa ajili ya kuinusa tu.
 
Meli ndogo ni oiler lkn meli kubwa ni wiper ndie msafishaj oiler anabak kuwa mbeba spana wa fundi
Mkuu elewa Jambo moja,

Wiper
Ni mtu wa engine ambaye hana uzoefu.
engine room
Akiwa na experience ndy huitwa OILER..
OILER ni lazima asome engine watching keeping.

On deck
baharia ambaye ndy anaanza huitwa OS(Ordinary seaman)

Akiwa na experience na kusoma deck watch keeping ndy huitwa AB.
Able seaman

Kumbuka ktk ubaharia rank haibadiliki hata uwe kwenye meli ndogo kiasi gani.
Captain
Chief officer,
2nd office
3rd officer,
Chief engineer
2nd engineer
3rd engineer
AB
Bosun
OS
Wiper
Oiler
Steward
Room boy
Messi man
Chief cook.,
Rank hazibadiliki hata wawe kwenye boat ndogo kiasi gani.

Rank hubadilika kutokana na position unayoiomba ,,
haibadiliki sababu ya ukubwa wa meli husika.

Mfano Captain anaweza kuomba kazi kama chief officer na akafanya,
Lakini kitaaluma atabaki kuwa captain.

AB akaomba kazi kama OS.(ordinary seaman)
Lakini kitaaluma atabaki kuwa AB(able seaman).
Bosun anaweza kuomba kazi kama AB,au OS(ordinary seaman)
Chief engineer anaweza akaomba kazi kama 2nd /3rd engineer na akafanya ,,

lakini kitaaluma na documents zake zote zitawatambuwa kama Captain,au AB,au officer..

Mtu anashusha rank yake ili awe qualified na position husika apige pesa.
 
Mkuu elewa Jambo moja,

Wiper
Ni mtu wa engine ambaye hana uzoefu.
engine room
Akiwa na experience ndy huitwa OILER..
OILER ni lazima asome engine watching keeping.

On deck
baharia ambaye ndy anaanza huitwa OS(Ordinary seaman)

Akiwa na experience na kusoma deck watch keeping ndy huitwa AB.
Able seaman

Kumbuka ktk ubaharia rank haibadiliki hata uwe kwenye meli ndogo kiasi gani.
Captain
Chief officer,
2nd office
3rd officer,
Chief engineer
2nd engineer
3rd engineer
AB
Bosun
OS
Wiper
Oiler
Steward
Room boy
Messi man
Chief cook.,
Rank hazibadiliki hata wawe kwenye boat ndogo kiasi gani.

Rank hubadilika kutokana na position unayoiomba ,,
haibadiliki sababu ya ukubwa wa meli husika.

Mfano Captain anaweza kuomba kazi kama chief officer na akafanya,
Lakini kitaaluma atabaki kuwa captain.

AB akaomba kazi kama OS.(ordinary seaman)
Lakini kitaaluma atabaki kuwa AB(able seaman).
Bosun anaweza kuomba kazi kama AB,au OS(ordinary seaman)
Chief engineer anaweza akaomba kazi kama 2nd /3rd engineer na akafanya ,,

lakini kitaaluma na documents zake zote zitawatambuwa kama Captain,au AB,au officer..

Mtu anashusha rank yake ili awe qualified na position husika apige pesa.
Huwez shusha rank kwa sabab ukiomba kazi lazima upeleke cv+vyeti na mwajir ukishampa cv+vyeti lazima atawasiliana na tasac+kukagua km ulichoweka ktk cv ni sahih.

Na ukipanda meli,tug au boti lazima discharge book yako igongwe muhur kulingana na levo yako ambayo ipo kwenye cv na sapot ya vyet.

Ila kuna baadh ya makampun yanampa baharia majukumu makubwa ingawaje ana levo ndogo.

Unaweza kuta oila anafanya majukumu ya chief engineer kwa sabab anayamudu huku kampun ikinufaika na chip leba.
 
Huwez shusha rank kwa sabab ukiomba kazi lazima upeleke cv+vyeti na mwajir ukishampa cv+vyeti lazima atawasiliana na tasac+kukagua km ulichoweka ktk cv ni sahih.

Na ukipanda meli,tug au boti lazima discharge book yako igongwe muhur kulingana na levo yako ambayo ipo kwenye cv na sapot ya vyet.

Ila kuna baadh ya makampun yanampa baharia majukumu makubwa ingawaje ana levo ndogo.

Unaweza kuta oila anafanya majukumu ya chief engineer kwa sabab anayamudu huku kampun ikinufaika na chip leba.
Mkuu Mimi ni baharia nakueleza kulingana na experience.

Kwa hiyo kama captain kuna Kazi za chief officer hairuhusiwi kuomba?

Nimeshawahi kufanya kazi na captain akiwa ktk meli fulani,
Baadae akahamishwa meli nyingine akiwa kama chief officer..

Na mwingine alikuwa huku chief officer kwenye meli ingine akawa captain.

Mfano,
Unaweza ukawa AB ktk meli fulani
Lakini kwenye meli nyingine ukawa kama OS kulingana na position iliyopo..
AB ni experienced OS

Hapa kwetu Sheria nyingi za ubaharia hazifuatwi Sana,

Haifai kutolea Mfano Kwa Mambo ambayo hatuyafanyi Kwa ufasaha.

Pia unapoomba kazi unatuma CV zako through emails za kampuni,,
Ukiwa qualified ndy wana contact na wewe..

Nishafanya kazi na watu nje,
Wana COC za officer lakini wanafanya kama AB

Documents zitabaki ni officer lakini unafanya kazi Kwa position unayoiomba.
]Captain is a 1st command on board.
Chief officer is a 2nd command on deck crew onboard ..
Wote Wana documents zote zinazofanana.,
tofauti ni kwamba captain yeye amepata certificate ya kulfanya awe captain.

Chief officer akiwa na experience ya kazi ya mwaka 1 anaweza kuomba certificate ya kuwa captain.

Means hawa watu wana tofauti ya rank lakini majukumu yanayofanana,,
Captain in charge of all crew onboard and final command in ship.

Chief officer[/ is incharge of only deck crew on-board,
And all operations on deck..

Chief officer can take incharge when captain is off duty...

Kwahyo kama una qualify unaweza kuomba kama rank fulani,
,au ukaomba rank ya chini na ukafanya kazi bila wasiwasi.

Ukiwa meli za nje utaelewa vzr sn mkuu.



Sent using Jamii Forums mobile app[/B]
 
Huwez shusha rank kwa sabab ukiomba kazi lazima upeleke cv+vyeti na mwajir ukishampa cv+vyeti lazima atawasiliana na tasac+kukagua km ulichoweka ktk cv ni sahih.

Na ukipanda meli,tug au boti lazima discharge book yako igongwe muhur kulingana na levo yako ambayo ipo kwenye cv na sapot ya vyet.

Ila kuna baadh ya makampun yanampa baharia majukumu makubwa ingawaje ana levo ndogo.

Unaweza kuta oila anafanya majukumu ya chief engineer kwa sabab anayamudu huku kampun ikinufaika na chip leba.
OILER hawezifanya majukumu ya chief engineer hata iweje.

Chief engineer --
is incharge of entire engineering department.

OILER yeye ni baharia wa engine room department Tu,,
Kazi zake ni kufuta oil na watch keeping,na repairs ambazo hupokea maelekezo kutoka kwa chief engineer/ 2nd engineer.

OILER hawezi kutoa decision yeyote kwenye engineering department.'


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OILER hawezifanya majukumu ya chief engineer hata iweje.

Chief engineer --
is incharge of entire engineering department.

OILER yeye ni baharia wa engine room department Tu,,
Kazi zake ni kufuta oil na watch keeping,na repairs ambazo hupokea maelekezo kutoka kwa chief engineer/ 2nd engineer.

OILER hawezi kutoa decision yeyote kwenye engineering department.'


Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea chief engineer anakuwa juu ya captain kirank. Maana chombo chote kinahusu engineering, wakati captain ni kuongoza chombo tu.
 
Nilitegemea chief engineer anakuwa juu ya captain kirank. Maana chombo chote kinahusu engineering, wakati captain ni kuongoza chombo tu.
Chief engineer ni incharge engine room department.

Kama alivyo chief officer yeye ni incharge on deck na operations zote za meli.

Captain ni fainal say Kwa meli nzima.
Chief engineer/ chief officer wote wanariport Kwa captain.

Captain is a command of all crew onboard and final command .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief engineer ni command engine room department.

Kama alivyo chief officer yeye ni incharge on deck na operations zote za meli.

Captain ni fainal say Kwa meli nzima.
Chief engineer/ chief officer wote wanariport Kwa captain.

Captain is a command of all crew onboard and final command .

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ufafanuzi, so interesting!
 
Hata hiyo ya wapenzi wa jinsia moja kuacha vinyesi kila mahali

Hivi hakuna namna ya kuwadhibiti wafue wenyewe.

Yaani mimtu ichafue tu inavyopenda bila kuwa na masharti, hii haiwezekani kila mahali Kuna masharti yake.

Na hao wapenzi wanapata raha gani sasa? Wanaishije na kinyesi kila mahali.


Haya huko kwenye meli ni mwema wanapanda waume za watu tu? Hakuna singles?
Meli ya abiria ina mchanganyiko wa watu wa aina tofauti,
Na ndy maana si kila baharia ana uwezo wa kufanya kazi kwenye meli yeyote,
Ni lazima usome Sheria za meli unayofanyia kazi.
Ili uwezekufanya kazi Kwa uweledii zaidi.

Passenger ship,
Tanker ship,
Dangerous cargo ship.

Hizi ni meli ambazo bila kusoma na kuwa na certificate huwezifanya kazi humo.(tankers/ dangerous cargo ship/passenger ship)

Mfano passenger ship utajifunza jinsi ya kushughulika na abiria pomoja na Sheria zake.

Passenger ship kama hutokuwa makini unaweza kujikuta unavunja taratibu za kazi,,
Humo wapo watu wa aina mbali mbali wa kike na kiume.,

Hata Mabaharia wenyewe ni wahuni sana wakati wa safari,
Abiria wa kike usiipokuwa makini unaweza kuliwa kimasihara na Mabaharia humo kwenye meli wakati wa safari especially night times..

Suala la kufanya mapenzi melini haliepukiki,,

Ni suala linalohisu tabia ya mtu.
Meli kubwa za abiria Cruze ships zina kila kitu ndani,
Bar/casinos/ swimming pools/ viwanja vya michezo/hotel/shopping malls ect.

Humo utajisahau kama upo melini.
Ni ngumu sn kumchunga abiria/ hata seamen.
Carnival-cruise-line-military-cruise-deals-discount-4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂 nilicho gundua ni uwezo wa wanawake kuelezea matukio. Wanaume wameifanya hii kazi kwa miaka mingi lakini hatukuwahi kuyajua yaliyomo.
Huwezi kusikia story kutoka Kwa wanaume Kwa sababu cruise ship ni hotel inayotembea, hata kwenye hotel za nchi kavu kama Kilimanjaro hotel hizo kazi za house keeping nyumbani zinafanywa na wanawake.
By the way aliyesoma hotelier anaweza kuwa cabin crew wa cruise ship na hawa siyo mabaharia.

Cargo ship huku ndio kazi za kiume pasee na wanaajiliwa mabaharia tu, yani seaman aliyepitia Maritime college.
 
Back
Top Bottom