Mwanafunzi Esther wa Panda Hill aliyepotea kwa siku 35 amepatikana, yadaiwa alitoroshwa na mchoma mkaa

Kaukalia nn MJUBA?
 
Since day moko nilivyopata hii habari nikauliza umri wa bint nilivyoambiwa ni 19yrs halmashauri ya ubongo wangu ikaconclude huyu yupo mahali kafungiwa anafanya mchezo mbaya.
Nasisitiza wasisahau kumpima mimba.
 
Mwamba aliyekua kamteka dogo aanze kusepa la sivyo miaka 30 kuna miaka 10 kusababisha taharuki na miaka 10 ya kumsumbua waziri mkuu !! Kiufupi huu ni Uhaini 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…