Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila hii nchi mamaee ukute ni kikii tuuuu kutupotezaa na suala la bandarii..Inatia hasira[emoji23]
Hapo tusubiri tena kahojiwe na wana habari.
Kaukalia nn MJUBA?😀😀 usikute dogo alienda kukalia, halafu amesumbua watu kinoma !! Mpaka hapo huyo dogo kuna vitu vingi anajua maana hii misheni sio ya mtoto mzembe mzembe !!
Waongee nae kwa upole ,
Halafu viongozi wetu bhana hizi mishe ndogo za hivi wapo makamanda mikoani huko wanatosha !!
Eti mpaka Waziri mkuu nae anatoa waraka 😀😀😀 halafu mtoto anakutwa kwa watu huko tena mkoa huo huo !!
Mambo makubwa makubwa ya upotevu wa Pesa wanainamisha vichwa ! Sema dogo nae kaweka historia " mimi niliwahi tafutwa hadi na waziri mkuu" mnajiaibisha
itakuwa aliendaa kuikaliaa mahalii sema namna ya kumrudisha kawa kimbembeee..Hiyo namba 3,ndiyo iliyonifanya nijue kuwa huyu dogo hajapotea,
Huo ni mchongo tu,kuna limoja lilitoroka na kuvaa hijabu yangu aisee, Recho ulijua kunivuruga.
Apewe,wasimdhulumu.
Inakuwa kimbembe kurudi,itakuwa aliendaa kuikaliaa mahalii sema namna ya kumrudisha kawa kimbembeee..
Huyo Binti ni ndangaji,mara ya pili anatoloshea na wanaume madereva wa magali makubwaMungu mkubwa bint amepatikana!, uchunguzi wa kina ufanyike, siku hizi kuna walimu na vijana wapuuzi sana...sheria ifuate mkondo.
Ukute kabwana chake kalikuwa kanaperuzi hapa JF anatuchora tu huku anakapiga kakofi kwa tako ya ESTERJimmy alitwishwa tu zigo,
Dogo mshenzi sana, mie nilisema yupo pahala katulia.
Ngoja uzae utaelewa tuHili taifa wakati mwingine la kipumbavu sana..
Tunapotezeana muda kwa upumbavu kabisa. Mtu kajiona kakua wala wazazi hana time nao kaenda kwa wanaume..taifa zima likuwe alerted .
Yaani[emoji23]Ukute kabwana chake kalikuwa kanaperuzi hapa JF anatuchora tu huku anakapiga kakofi kwa tako ya ESTER
Huyu malezi, wazazi wake wawe tayari kwa kusemwa vibaya,Vip na huyo binti mtasema alilelewa na single mother?
Sawa.N
Ngoja uzae utaelewa tu
Wewe bado ni balobalo
Madogo hawapati mimba siku hizi wanajua mbinu zote !!Since day moko nilivyopata hii habari nikauliza umri wa bint nilivyoambiwa ni 19yrs halmashauri ya ubongo wangu ikaconclude huyu yupo mahali kafungiwa anafanya mchezo mbaya.
Nasisitiza wasisahau kumpima mimba.