Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

mkuu, binti hachukuliwi hatua yeyote kwa 7bu hajaua...walioua ni WANANCHI WENYE HASIRA KALI SANA.
Kwa nini amekimbia kama ni hivyo? Unafikiri ndio rahisi kiasi hicho? Hata kama hatachukuliwa hatua kali kusababisha tu mtu auwawe kutokana na mdomo wake imekwishamcost!
 
Chuo cha Saut kipo ndani ya makazi ya watu pembeni kidogo na mji...hivyo neno mwananzego linatumika kama ishara ya mwanakijiji au kutofautisha raia mwenye asili ya makazi ya pale na mwanachuo
Limekuwa linatumika vibaya .mtu akitaka kusema wakazi wa sehemu fulani anasema wanazengo wa sehemu flani.
 
Kwa nini amekimbia kama ni hivyo? Unafikiri ndio rahisi kiasi hicho? Hata kama hatachukuliwa hatua kali kusababisha tu mtu auwawe kutokana na mdomo wake imekwishamcost!
amekimbia kwa sababu ya uoga wake wa kike. zombe aliamuru polisi kuwaua wafanyabiashara 3 wauawe lakini aliachiwa huru kwa sababu hakushika bunduki kwa mikono yake kuwaua., sembuse huyu binti ambaye hajawaamuru wananchi kuua! binti hana makosa yoyote ya KISHERIA.
 
Kwa wale wanaojaribu ku divert hii issue na kumfanya huyo dada aonekane hana makosa mna madhambi mbele za Mungu na mnalijua hilo!

Marehemu alikua ni agent wa warembo/ma miss na amefanya kazi na wanafunzi wengi wa SAUT wa kike na wa kiume na wanamfahamu sana, japo sio wote. Na huyo mwanamke ni girlfriend wake wa muda sana kilichotokea anakijua vizuri sana tu!!

*Hivi unaanzia wapi kumuitia mwizi boyfriend wako kisa tu amekuta text za michepuko kwa simu!?

Mabinti wa SAUT wabadilike maana Matukio ya vijana (wa kiume) kupoteza maisha hapo Chuoni kwa sababu za "kimapenzi" ni mengi, binafsi kaka yangu alinusurika kufa baada ya kupigwa risasi na "pedeshee" aliekua anachepuka na wifi yetu!!
Watanzania wabadilike katika kuchambua mambo na wasikurupuke. Ni wazi wachangiaji wengi katika thread hii ama ni marafiki wa mhanga au wana bifu na wana SAUT hasa akina dada. Wanafunzi wanapokuwa hostel au majumbani kwao kuna kanuni za kuwatembelea. SAUT mwisho wa mtu asiye mwanafunzi katika hostel ya chuo awe mwanaume au mwanamke ni saa 12 jioni. Wanafunzi wana uhuru wa kukaa hostel hadi saa 4 usiku. Kanuni hii si mpya katika vyuo Tanzania. Kijana mhanga ambaye ameuawa, kwanza si mwanafunzi wa SAUT na hajawahi kusoma SAUT. Aliyepost kwamba huyu ni mwanafunzi wa SAUT ana nia ya kudanganya jamii na kupaka matope chuo cha SAUT kwa maslahi yake au ya wahalifu wenzake. Wizi katika hostel za wanafunzi si jambo jipya na hivyo kutawala hasira za wanafunzi na wananzengo sio rahisi katika Tanzania ya leo. Juzi mtaa wa Nganza risasi zimepigwa na mtu amekufa, fedha zimekombwa na wengine kujeruhiwa. Je watanzania kweli wana sababu ya kutetea mtu anayekutwa maeneo ambayo hapaswi kuwepo? Kijana mhanga hakuwa na mpenzi SAUT. Na kama alikuwa anaye, basi ushahidi utolewa kwani hiyo picha inayozungushwa ni ya zamani na si ya jana wala leo. Mwizi ni mwizi hata avae suti. Mjaribu kuchunguza family history ya mwizi, na matukio yake ya awali kama wizi wa laptop hapo hapo SAUT, msikurupuke. Kupiga mayowe ili kujitetea ni natural reflex kwa mtu yeyote. Kukimbia na kushikwa na wanafunzi na wananzengo nje ya hostel ni dokezo wazi kwamba kijana alikuwa anajua ana hatia. Tangu lini mwanaume umkimbie mpenzi wako? Kama ilivyo elezwa na PR wa chuo, kijana alikutwa ndio anachomoka room na simu ya mtu. Mlitegemea dada wa SAUT afanye nini, usiku wa saa 3. Msiwalaumu mabinti bila kuchambua ukweli wa mambo. Za mwizi ni arobaini. Mnaotetea wizi na uhalifu katika mwamvuli wa mapenzi mtapata matatizo hayo hayo. Mabinti wawe na nidhamu wawapo chuoni, na akina kaka wawe na nidhamu pia. Wizi sio ajira nzuri. Msikurupuke katika thread hizi, kutukana wanafunzi nk, acheni vyombo husika vifanye uchunguzi.
 
Kuna watu wanajifanya wajuaji
wakati majibu yao yanajionesha ni mburula "tia maji tia maji...."
 
Watanzania wabadilike katika kuchambua mambo na wasikurupuke. Ni wazi wachangiaji wengi katika thread hii ama ni marafiki wa mhanga au wana bifu na wana SAUT hasa akina dada. Wanafunzi wanapokuwa hostel au majumbani kwao kuna kanuni za kuwatembelea. SAUT mwisho wa mtu asiye mwanafunzi katika hostel ya chuo awe mwanaume au mwanamke ni saa 12 jioni. Wanafunzi wana uhuru wa kukaa hostel hadi saa 4 usiku. Kanuni hii si mpya katika vyuo Tanzania. Kijana mhanga ambaye ameuawa, kwanza si mwanafunzi wa SAUT na hajawahi kusoma SAUT. Aliyepost kwamba huyu ni mwanafunzi wa SAUT ana nia ya kudanganya jamii na kupaka matope chuo cha SAUT kwa maslahi yake au ya wahalifu wenzake. Wizi katika hostel za wanafunzi si jambo jipya na hivyo kutawala hasira za wanafunzi na wananzengo sio rahisi katika Tanzania ya leo. Juzi mtaa wa Nganza risasi zimepigwa na mtu amekufa, fedha zimekombwa na wengine kujeruhiwa. Je watanzania kweli wana sababu ya kutetea mtu anayekutwa maeneo ambayo hapaswi kuwepo? Kijana mhanga hakuwa na mpenzi SAUT. Na kama alikuwa anaye, basi ushahidi utolewa kwani hiyo picha inayozungushwa ni ya zamani na si ya jana wala leo. Mwizi ni mwizi hata avae suti. Mjaribu kuchunguza family history ya mwizi, na matukio yake ya awali kama wizi wa laptop hapo hapo SAUT, msikurupuke. Kupiga mayowe ili kujitetea ni natural reflex kwa mtu yeyote. Kukimbia na kushikwa na wanafunzi na wananzengo nje ya hostel ni dokezo wazi kwamba kijana alikuwa anajua ana hatia. Tangu lini mwanaume umkimbie mpenzi wako? Kama ilivyo elezwa na PR wa chuo, kijana alikutwa ndio anachomoka room na simu ya mtu. Mlitegemea dada wa SAUT afanye nini, usiku wa saa 3. Msiwalaumu mabinti bila kuchambua ukweli wa mambo. Za mwizi ni arobaini. Mnaotetea wizi na uhalifu katika mwamvuli wa mapenzi mtapata matatizo hayo hayo. Mabinti wawe na nidhamu wawapo chuoni, na akina kaka wawe na nidhamu pia. Wizi sio ajira nzuri. Msikurupuke katika thread hizi, kutukana wanafunzi nk, acheni vyombo husika vifanye uchunguzi.
Ww muongo kweli aliye uwawa alikuwa rfk wang muda mrefu sana mm nilikuwa na duka la simu mitimirefu kama alikuwa mwizi wa simu mbona nilikuwa namuachia duka zima mbona nilikuwa nakuja nakuta akuna kilicho potea na unaposema ajawai kusoma saut muogope mungu kwa huo uongo paka huyo biti aliye fanya ilo tukio ananifahamu mm na pia namfaamu vizuri kwasababu walikuwa wanakuja pamoja dukani alafu kama ujui kitu ww nyamaza tu kwasababu akuna sababu ya msingi ya kupotosha watu
 
Hapa Nilipo Tu Namalizia Kuandika DISSERTATION Yangu Ya M.A. Na Kama Mambo Yakienda Vizuri Kati Ya November Mwaka Huu au Mwakani 2017 Nitakuwa Nahitimu Baada Ya Hapo Miaka Mitano Ijayo Kama SITAKUFA Kwa UKIMWI au AJALI au ZIKA Nategemea Kama Si Kumaliza au Kuanza PhD Yangu. Utake Usitake Kuna UWEZEKANO Mkubwa Sana Mwaka 2035 UKANICHAGUA Kuwa Mbunge Wako au Rais Wako Wa Hii Nchi. Hakuna Nchi Nyepesi Kuupata Urais Kama Tanzania Hivyo Kupitia Chama Changu NITAKUTAWALENI Tu. Itunze Hii Post Yangu Na Mwaka 2035 YATATIMIA Haya. Na Cha Kufurahisha Zaidi Degree Yangu Nimeichukulia SAUT, Masters Yangu Naimalizia SAUT Lakini Hata PhD Yangu Nayo Nitaifanyia SAUT. Sijui Una Jingine Tena Labda? Nifah Hawa Watu Huwa Mnawatoa Wapi?


SIJAKUELEWA,UGOMBEE UBUNGE KATIKA NCHI AMBAYO SI RAIA MKUU ??WE SI HUWA Unasema kuwa ni RAIA wa Rwanda, aisee we kuna haja ya kuchunguzwa uraia wako,nna wasiwasi utakuwa pandikiza LA kagam 😱😀
 
Watanzania wabadilike katika kuchambua mambo na wasikurupuke. Ni wazi wachangiaji wengi katika thread hii ama ni marafiki wa mhanga au wana bifu na wana SAUT hasa akina dada. Wanafunzi wanapokuwa hostel au majumbani kwao kuna kanuni za kuwatembelea. SAUT mwisho wa mtu asiye mwanafunzi katika hostel ya chuo awe mwanaume au mwanamke ni saa 12 jioni. Wanafunzi wana uhuru wa kukaa hostel hadi saa 4 usiku. Kanuni hii si mpya katika vyuo Tanzania. Kijana mhanga ambaye ameuawa, kwanza si mwanafunzi wa SAUT na hajawahi kusoma SAUT. Aliyepost kwamba huyu ni mwanafunzi wa SAUT ana nia ya kudanganya jamii na kupaka matope chuo cha SAUT kwa maslahi yake au ya wahalifu wenzake. Wizi katika hostel za wanafunzi si jambo jipya na hivyo kutawala hasira za wanafunzi na wananzengo sio rahisi katika Tanzania ya leo. Juzi mtaa wa Nganza risasi zimepigwa na mtu amekufa, fedha zimekombwa na wengine kujeruhiwa. Je watanzania kweli wana sababu ya kutetea mtu anayekutwa maeneo ambayo hapaswi kuwepo? Kijana mhanga hakuwa na mpenzi SAUT. Na kama alikuwa anaye, basi ushahidi utolewa kwani hiyo picha inayozungushwa ni ya zamani na si ya jana wala leo. Mwizi ni mwizi hata avae suti. Mjaribu kuchunguza family history ya mwizi, na matukio yake ya awali kama wizi wa laptop hapo hapo SAUT, msikurupuke. Kupiga mayowe ili kujitetea ni natural reflex kwa mtu yeyote. Kukimbia na kushikwa na wanafunzi na wananzengo nje ya hostel ni dokezo wazi kwamba kijana alikuwa anajua ana hatia. Tangu lini mwanaume umkimbie mpenzi wako? Kama ilivyo elezwa na PR wa chuo, kijana alikutwa ndio anachomoka room na simu ya mtu. Mlitegemea dada wa SAUT afanye nini, usiku wa saa 3. Msiwalaumu mabinti bila kuchambua ukweli wa mambo. Za mwizi ni arobaini. Mnaotetea wizi na uhalifu katika mwamvuli wa mapenzi mtapata matatizo hayo hayo. Mabinti wawe na nidhamu wawapo chuoni, na akina kaka wawe na nidhamu pia. Wizi sio ajira nzuri. Msikurupuke katika thread hizi, kutukana wanafunzi nk, acheni vyombo husika vifanye uchunguzi.


Hakuna marefu yasiyo na ncha! Mnajijua! !

*Ulale kwa Amani Jey!
 
hii tabia ya wananchi kujichukulia sheria mkononi bila kufanya uchunguzi inakera sana,tumepoteza ndugu,jamaa na marafiki kwa kusingiziwa wizi.inauma sana
kweli mpendwa, wamekuwa ni watu wa kukurupuka tu na kumwaga damu isiyo na hatia badala ya kuhoji kwanza.
 
kweli mpendwa, wamekuwa ni watu wa kukurupuka tu na kumwaga damu isiyo na hatia badala ya kuhoji kwanza.

unadhan@Emoj kama huyo marehemu amesingiziwa!! hakika damu yake itakuwa juu yao
 
Mwanzoni niliposoma thread hii nilichukulia poa tu (just a story of the day) baada ya kuona clip kwenye watsap jamaa akiuwawa kikatili nimerudi na hasira zote nataka kufahamu vyombo husika pelelezi vimefikia wp wahalifu wote waliompiga Marehamu wanaonekana Kwenye clips (mob justice)
 
HUYU JAMAA SIO TU AMEUAWA KIZEMBE ILA AMEUAWA KIKE SANA!
 
Inna Lilah Wainna Ilayhi Raajiuun.

Msihukumu sana.

Nyie mnaojifanya kuhukumu mmefanya mabaya pengiine kumzidi huyo Marehemu.

Kwa kweli ni tukio la kusikitisha sana
 
amekimbia kwa sababu ya uoga wake wa kike. zombe aliamuru polisi kuwaua wafanyabiashara 3 wauawe lakini aliachiwa huru kwa sababu hakushika bunduki kwa mikono yake kuwaua., sembuse huyu binti ambaye hajawaamuru wananchi kuua! binti hana makosa yoyote ya KISHERIA.
usipotoshe. Shitaka ndo muhimu. Zombe alishitakiwa kwa kuua ila Na binti akishtakiwa KWA kuua Basi atatoka ila kushiriki mauaji atapata za mvua
 
Mkuu, masuala ya kisheria hayaamuliwi kienyeji kama unavyotaka wewe. Unadhani ni kwanini Zombe aliachiwa huru ijapokuwa yeye ndiye aliyewaamuru askari kuwaua wale wafanyabiashara? NI KWA SABABU ZOMBI HAKUSHIKA BUNDUKI KUWAUA WAFANYABIASHARA WALE. hivyo, ijapokuwa binti alipiga yowe ya "MWIZI" hakushika jiwe, fimbo, rungu wala kifaa chochote chenye ncha kali kumuua marehemu kama vile ambavyo zombe hakushika bunduki kuua. umeelewa?
Soma Comments Vizuri Mkuu Ndio Uanze Kujibu, Maana Comments Zangu Zoote Ziko Wazi, Nahitaji Vyombo Vya Dora Vishirikiane Na Uongozi Wa CHUO Kupata Ufumbuzi Wa Sakata Hili!!! Rudi Usome Vizuri Kwanza!!
 
usipotoshe. Shitaka ndo muhimu. Zombe alishitakiwa kwa kuua ila Na binti akishtakiwa KWA kuua Basi atatoka ila kushiriki mauaji atapata za mvua
mkuu naona sasa umeanza kunielewa...binti hakushika jiwe, rungu, fimbo wa tofali kumuua marehemu....kwa hiyo hana kosa lolote na ataendelea na maisha yake ya kawaida uraiani bila bugudha yoyote. nadhani sasa tupo pamoja.
 
Back
Top Bottom