Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naona nawenge tu mie hapa, hesabu njema jamani
(5÷100)×5=0.25.tafuta asilimia 5 ya tano
Jaman nauliza vyuo vikuu Tanzania ambavyo vinamatatizo makubwa vyuo hivyo ni Kampala na st Joseph arusha bado vipo kwenye orodha ya uombaj udahili kwa mwaka huu?
From chemistry,,,1mL=1g,,now,in 1L there is 1000mL,,from 1000mL you get 1000g,so,from 1g=1000g,you get 1g.
Naomba kuuliza hiv mtu akidisico chuo flan alaf mwakan akaomb chuo kingine anaweza kupew mkopo na loan board??Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Naomba kuuliza hiv mtu akidisico chuo flan alaf mwakan akaomb chuo kingine anaweza kupew mkopo na loan board??
nataka kujua kipi kinasababisha jua kutoa mwanga??? msaada tafadhali
sio mkopo tu, hata chuo hupati. kudisco mwaka huu halafu mwakani uombe tena ni ngumu..
Swali langu ni hivi hivi kwa nini wakati wa kusex huwa nikikaribia kupiga bao natoka vipele mwili mzima na wakati mwingine napiga kelele kwa ajili ya utamu? Naomba mwalimu wa biology unisaidie
Chuo unapata kk coz tcu ndo wanachagua Na hiko CO kigezo chao cha kukosa Ishu ipo heslb kk