elly mbogo
Member
- Sep 3, 2015
- 27
- 0
mkuu nisaidie kumtafuta huyu ...shule atokayo oysterbay numbr s.3502/127
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
am-an +3bn+3bm
=a(m-n)+3b(n+m)
.'.=a(m-n)+ 3b(n+m) anser
Mh! niki let value ili nihakiki linakataa, hii nouma
Anataka atongoze wanafunzi huyo
Salam, naomba msaada wa mpangilio wa Topics za kuanzia form 3 na 4.. Kwenye masomo ya History, civics, Kiswahili, Eng/Literature, Geog.
Thanks in Advance.
Kwa bookeeping na commerce form 1-6 nitajibu. Accounting profesional from diploma upto 1st bachelor tutapeana mawazo/maoni/discusion n.k.
Wakuu hiv biashara ili iitwe biashara ina sifa zipi?
kwa ufupi hakuna nchi yoyote inayoundisha watu darasani mojakwamoja wakajiajiri.bali wanaweka mazingira mazuri na kupanua huduma ya elimu. dhumuni la elimu ya dunia ni kutaka kuzalisha LABOUR force ambayo ni skilled,at the end of the day kwenda kufanya kazi kwa bei chee.katika dunia ya leo ya habari(information age) fedha ni muhimu sana, je ni kwanini mfumo wetu wa elimu hautoi fursa kwa wanafunzi kujua mfumo na tabia ya fedha katika dunia na uchumi wa kibepari(capitalism) ili kuzalisha watu huru(wanaojiajiri) badala yake mfumo wa elimu unatengeneza watu wanaotegemea kuajiriwa??????
NAOMBENI WATU WALIO KWENYE SEKTA YA ELIMU WANIPE MAWAZO KTK HILI
Kwa mtazamo wangu risk ni kubwa itakayo pata uchumi wanchi.ebhu apply eco yako ktk real world. Nini mtazamo wako ktk hili? Sasa tunajua tz kuna initial rise of price ya bidhaa kadhaa kutokana na kudondoka kwa tshs na pia kodi ya fuels kuongezeka ni dhahiri bei itapanda zaidi hasa bei ya bidhaa zenye uhusiano na fuels ila hofu kubwa ktk soko la dunia fuels zipo chini na itakuwa hatari ktk uchumi wa taifa endapo zitapanda+ ongezeko la kodi
nini ushauri wako kwa wafanyabiashara najua hoarding ni hatari, pia kusave bank ni shida, kununua asset kuna asset nyingine haziuziki kwa wakati unaohitaji, kukopesha pia ni balaa labda kukopa n.k
Je hakuta kuwa na risk kubwa wananchi kufanya hoarding ya fedha za kigeni?
athari zipo pande mbili.kwa wachumi tafadhali!
Nini athari za safari za rais wa Tanzania katika uchumi wa nchi?
because it it deals with things which CHANGES accoring to time. in shortWhy economic has no single definitions