Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Sasa wewe ulitaka aseme nini kama unajua kuwa anajua Ben yuko wapi ?hahahaha huu ni ushahidi mwingine kuwa ni wazi Mbowe anajua alipo Ben ndio maana ana ona anyamaze...
Hili ni pigo na anguko kwa chadema.Ninachokina ni kichokonoa habari tu ilikuvuta hisia za wengi na kutaka kufuatilia hii habari katika gazeti la mwanahalisi hivyo HATUWEZI kukomaa na hicho kichokonoa habari tena kinachoonyesha kimechukulia kutoka katika maoni ya mtu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu CDM na kuifnaya sasa ndio habari kamili.Hapa naona kwangu ni mchezo tu wa kuvuta wasomaji na kuwajengea shauku ili wanunue gazeti na walisome kisha humo kwenye habari kamili ndio ilipaswa watu wajenge hoja siyo kwenye hiki kilicholetwa kama kichokonoa habari na ambacho hata hivyo kinaacha maswali mengi kuliko majibu na kimekaa kimtego zaidi
Mmmh! Haileti maana hata kidogo. Tusubiri tuone.article kamili hii hapa nanhakuna zaidi ya hapo
Utata mpya msaidizi wa Mbowe
mbowe anjoshe maelezoNiliwauliza hapa je akitokea na akakiri kuwepo kwenye mikono ya mtandao wa Mbowe je CDM mtasemaje na je bado mtaiamini CDM? KIMYAAAA mpaka sasa.
Ww jamaa bhana kavu Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Sokoine yasemekana alikuwa akionekana ofisini kwake baada ya kifo chake miaka hiyo tuliadithiwa...
Pia tukaambiwa uzushi kuwa simu ya Kanumba huwa ukipiga inaita tu lakini haipokelewi tuliambiwa kwenye tigo pesa ukituma zinatolewaπ
Akamatwe sasa, maana hili ni kubwa sn kuliko la ndotohahahaha huu ni ushahidi mwingine kuwa ni wazi Mbowe anajua alipo Ben ndio maana ana ona anyamaze...
Nenda pale Milembe mkuu utawakutaDegree za uwendawazimu zinapatikanaje mkuu?
TUKIENDELEA KUWA NA WAHARIRI KAMA HUYU NI BORA TUANZE KAMPENI YA KATA MTI PANDA BANGIdaaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning&[HASHTAG]#039[/HASHTAG];inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
Hivi mtu akijalibu kujiuwa na akifikishwa mbele sheria si anahukumiwa kwa kujaribu kujiuwa??
Na vipi kwa mtu kama.benn sanane,akijipoteza,my b ikawa akajiteka..sasa akija jitokeza na pia anahukumiwa kwa kujiteka??
Binafsi km.kweli analandalanda mtaan,polisi wamefanya msako hamjapata,mzazi nusura afe kwa bp,tumepoteza muda mwingi jf,fb nk kumjadili...km yupo wima afunzwe adabu
Utani mwingine sio kabisaa
Umiona eedaaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......