MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

65411cff970847940bc81538502ec5f3.jpg


Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”


1ffb5dd592d863734a35fa27a069e1e0.jpg
Tunamtaka tundu Lissu ajibu hili
 
View attachment 451421
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
picha p/se ben akiwa mtaani au kwa ndugu
 
View attachment 451421
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Kubenea ni kada na mbunge wa chadema.
Ben Sanane naye ni kada na msaidizi mahsusi wa Mbowe, mwenyekiti wa chadema.

Tushasema tangu enzi za Yeriko kuwa haka kamtindo ka "kujiteka" sio kazuri, kana madhara makubwa.
Tafuteni njia nyingine .
 
Niliwauliza hapa je akitokea na akakiri kuwepo kwenye mikono ya mtandao wa Mbowe je CDM mtasemaje na je bado mtaiamini CDM? KIMYAAAA mpaka sasa.
Kama yule mlinzi wa Dr. Slaa wakati ulr ha ha ha.
 
Ishu ya Ben Saanane inaweza kuwa ni Self imposed exile baada ya kuona hatari fulani ya kukamatwa kwa uchochezi mitandaoni
Nami nimewaza hivi as sijasikia viongozi wake wakuu wakisema chochote kinachoeleweka
 
View attachment 451421
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Hii ina maana Nyumba ya Chadema imegawanyika.
Hadi kuanikana hadharani namna hii ni wazi imani na "loyality" kwa Mbowe imepungua sana.
Tusubiri mtifuano wa haja.
Hili la Ben, naamini viongozi wa Chadema wanalijua kuliko wengi wetu.
 
habari imekaa kimtego tego
kama wanawaandaa watu kwa ajili ya kitu fulani

mhariri lazima ahojiwe kwa vyovyote vile
Wanajiandaa kumtema Ben, kuwa Ben alikuwa anajifanyia yake bila ridhaa ya Chama.
Na lolote litakalompata na madhara yoyote kama yatakuwa yamempata yametokana na matendo zake binafsi.
"Ben has been disavowed".
 
KUBENEA: BEN ANATAFUTA KIKI YA KISIASA, ANATANUA KWENYE VIJIWE VYA KAHAWA NA WASHIKAJI ZAKE TU.

Mwanahabari nguri wa habari za uchunguzi na mhariri mkuu wa gazeti la mwanahalisi bw. Kubenea katika gazeti lake la mwanahalisi online ameandika kuwa ben anaoneka kwenye vijiwe vya kahawa na washikaji zake ila nyumbani na kazini kagoma kwenda.Kubenea anasema ben anatafuta kick ya kisiasa ili ajipatie madaraka kwenye uchaguzi wa ndani ya chama.
Jamani mi simoo…waache wasaka vyeo ndan ya chama wafichuane walipo….hahahahaha………. usikose gazeti la wanahalisi siku ya jumatatu.
 
Duh, kama kweli atakuwa kajishusha sana, na hadhi yake kaikanyagia kwenye mavumbi/ matope mwenyewe.
 
Back
Top Bottom