Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
magufuli likufa akiwa nje ya madaraka?

Vipi chadomo, mpaka mwenyekiti mbowe afie madarakani siyo?

Kufa ni siri sana. Na tusidharau uwepo wa kifo. Ila nani ataongoza lini, nayo pia ni mambo ya sirini ya Mwenyezi Mungu. Kwa sasa Rais ni Samia, na itabaki hivyo.
 
Kama

Kama CCM wanataka ya BDP yasijirudie kwao, basi wanapaswa kutuletea mtu "competent" kweli kweli mwenye kukubalika kwa wengi, vinginevyo wataangukia pua!
Wananchi wengi kwa sasa ni kama wamekata tamaa ya maisha
Kwani mkuu CCM huwa inategemea kura zenu kushinda uchaguzi? Ni mpaka pale vijana wapaka poda wa Tanzania watakapoamka! CCM hata ingeweka jiwe hakika ingeshinda uchaguzi!
 
Basi jua huku pia, ssh akilazimisha kugombea, hatoshinda,

Upinzani utachukua ushindi Kwa mara ya kwanza.
Kumbe mpaka leo bado kuna watu hamjui the determinant ya victory kwenye chaguzi za African democracy!。The determinant of victory is not the vote cast but the vote count!, yaani anayeamua mshindi sio kura zilizopigwa, bali ni kura zilizohesabiwa, hivyo anayeamua mshindi ni nani sio mpiga kura, bali mhesababu kura!
P
 
Kumbe mpaka leo bado kuna watu hamjui the determinant ya victory kwenye chaguzi za African democracy!。The determinant of victory is not the vote cast but the vote count!, yaani anayeamua mshindi sio kura zilizopigwa, bali ni kura zilizohesabiwa, hivyo anayeamua mshindi ni nani sio mpiga kura, bali mhesababu kura!
P
Mavi-Jana ya Tanzania kama maatlaaatila fulani hivi! Yaache yajidanganye!
 
Alisema na gazeti la Mwananchi lilinukuu labda kama kuna mabadiliko. Nyie ndiyo mnamshinikiza ila Mama yeye anataka apumzike 2025 baada ya kuifanyia mengi Nchi hii na umri wake umeenda anapendelea kupumzika Siasa.
Maneno bila picha ni uzushi. Tupiamo basi hilo gazeti tukuamini😂
 
CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.

Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486
AISEE CHADEMA WANAHANGAIKA WANAPATA SHIDA SANA NA HUYU MAMA WANATAPATAPA KAMA MFA MAJI WANAANZA KUZUSHA UONGO SIJUI KWA FAIDA YA NANI?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

YAANI UNASHINDWA KUHANGAIKA NA CHADEMA YAKO ILIYOTAABANI UNAANZA KUWA MSEMAJI WA CCM? KWANI WAKIVURUGANA SI NDIYO FAIDA KWENU AU HAMTAKI KUSHINDA? YAANI WAPUUZI SANA NYIE YAANI USHINDI WENU MPAKA CCM WAVURUGANE? MTAHENYA MWAKA HUU
 
Back
Top Bottom