Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAL sikiliza habari hii!
Hadi siku ya uchaguzi tutaona mengi
 

Attachments

  • 5926866-27c969517f313456671a875bfbd87d9d.mp4
    10.1 MB
Mimi siamini huu uzushi wenu kuwa Tz wanahusika Maria ni Mtoto wa Ccm kalelewa ndani ya Tiss iweje leo muisingizie serikali?

Huyo anahusishwa kuivuruga CDM miaka na miaka iweje leo atekwe na ccm aseme vizuri hapo Kenya kazulumu nini maana hapa tangu enzi za JPM alikuwa anakosoa na hawakuwahi kumkata kwani walishindwa kumfika Mzee Sarungi?

Acheni uzushi Serikali yetu haihusiki yeye anajua alichofanya huko kwa watu kwa akili yako angekuwa anatafutwa na Serikali yetu hata yeye kwa akili ndogo angekubali kwenda kujificha hapo Nairobi?

Huu ni Uzushi.....
Au sio ?

Ngoja atekwe Baba ako ndio useme haya vema

Akili huna
 
TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.

Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.

View attachment 3199790

Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.

View attachment 3199795
Hakuna Serikali itavumilia matusi ambayo Maria Sarungi na vijana wake alina Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti wanaporomosha kwa Serikali. Yaani mkae Nairobi muitukane Tanzania, halafu mnategemea msikamatwe. Huo ni undezi wa hali ya juu
 
Za kweli hizo? Siku hizi fake news zimekuwa nyingi, ngoja tusubiri uthibitisho. Wengine kiki , wengine fake news
 
Sasa hawa wanaharakati na wanasiasa wengine wenye maoni makali wawe na ulinzi wa kufa mtu, saa yoyote wanaweza kutekwa. Yaani kama una ulinzi wa kufa mtu watekaji itabidi wajipange vema la sivyo watachezea kipigo cha kufa mtu, ni hatari sana!
 
Back
Top Bottom