Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Huyo motoni moja kwa mojaJamani imenibidi nicheke japo si kwa mazuri eti shetabi hachukui sadaka kibudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo motoni moja kwa mojaJamani imenibidi nicheke japo si kwa mazuri eti shetabi hachukui sadaka kibudu
Mbaya sanaa tena mnooo.Ogopa sana hii kitu isikukute, msongo wa mawazo/sonona/depression.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahSasa mkuu utaenda kujieleza kwa wafanyakazi wenzio kwamba una tatizo fulani na fulani halafu baadae wakikaa bar wanaanza kuhadithiana "ebwanaaee unamjua yule jamaa wa KJ### ebana mke wake analiwa na captain ###" hahahaha ni ngumu sana bora ukashauriwe na watu wa taasisi ingine kabisa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]