92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
naona watu wa forensic hamko mbaliHapo kitu cha kwanza ni kuangalia kama mwandiko ni wake au lah. Cha pili ni kufuatilia simu yake na tatu kumchukua maelezo mkewe kuhusu tabia na mwenendo wake na alikuwa anasumbuliwa na nini