Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
one man down kiukwel askali jeshi wengi hasa junior officer wanapitia maisha ya stress sana ni vile tu hawafunguki na kuji exposed kama ma ticha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🚮mbona alichoandika hiyo hapo juu ni cha kawaida sana na inajulikana? Punguza stress mkuu...hajakashifu ..ameongea facts..byeKwa akili yako, huyo jamaa ni kichaa, hajielewi?? Kwako wewe unadhani kila tatizo linatatuliwa kwa msaikolojia??
Mengine acheni ujuaji, kama amevumilia mpaka ameshindwa huoni kama amejaribu kutumia akili zake katika kukabiliana na hiyo hali na ameshindwa??
Nyie ndio wapumbavu ambao mshkaji wako ana hustle na una njia ya kumsaidia chochote lkn kazi yako ni kusema muombe mungu atakusaidia, yeye ale nini matako ya huyo mungu??
Tulia Kinana weweWakina nani hao waseme ukweli bwana traffik?
Ulikuwa na shida gani "mama nyuki"??Mi nawashukuru humu ndani nusura niende na maji.Ukitingwa kimawazo omba ushauri wajamen
Tulia Kinana wewe
Jamaa usikute alikuwa na Depression, anxiety, PTSD, etc. Mental health is real.
Pole kwa changamoto,maana sio kwa kelele hizo!!!!.Amini matatizo ya akili huanza kidogo kidogo kama hivyo ulivyoandika.Kwa akili yako, huyo jamaa ni kichaa, hajielewi?? Kwako wewe unadhani kila tatizo linatatuliwa kwa msaikolojia??
Mengine acheni ujuaji, kama amevumilia mpaka ameshindwa huoni kama amejaribu kutumia akili zake katika kukabiliana na hiyo hali na ameshindwa??
Nyie ndio wapumbavu ambao mshkaji wako ana hustle na una njia ya kumsaidia chochote lkn kazi yako ni kusema muombe mungu atakusaidia, yeye ale nini matako ya huyo mungu??
Yeah!, nilitaka kusema kwamba, wamehakikisha huo mwandiko wa kwenye ujumbe ni wake? Pakuanzia ni hapo kwanza. Mauaji mengi yanasakiziwa suicide.Huyo kauawa, huo ujumbe haumake any sense, ni decoy tu. Uchunguzi ufanyike
Maamuzi magumu sana haya!
Ukishikiwa mguu wa mtoto shingoni unaandika tu mwenyewe kwa mkono wako.Waangalie mwandiko wake
Sasa mkuu utaenda kujieleza kwa wafanyakazi wenzio kwamba una tatizo fulani na fulani halafu baadae wakikaa bar wanaanza kuhadithiana "ebwanaaee unamjua yule jamaa wa KJ### ebana mke wake analiwa na captain ###" hahahaha ni ngumu sana bora ukashauriwe na watu wa taasisi ingine kabisa...😂😂😂😂Hakunaga washauri wa kisaikolojia Jeshini?
RIP soja wetu
Kwa hiyo suluhu ya kujitundika imekuwa sahihi?Sasa mkuu utaenda kujieleza kwa wafanyakazi wenzio kwamba una tatizo fulani na fulani halafu baadae wakikaa bar wanaanza kuhadithiana "ebwanaaee unamjua yule jamaa wa KJ### ebana mke wake analiwa na captain ###" hahahaha ni ngumu sana bora ukashauriwe na watu wa taasisi ingine kabisa...😂😂😂😂
Yeah! Investigation inaanzia hapoHapo kitu cha kwanza ni kuangalia kama mwandiko ni wake au lah. Cha pili ni kufuatilia simu yake na tatu kumchukua maelezo mkewe kuhusu tabia na mwenendo wake na alikuwa anasumbuliwa na nini