Mwanajeshi ajinyonga, aandika ujumbe kwa mke wake "Naomba uwatunze watoto nimejitahidi nimeshindwa"

Mwanajeshi ajinyonga, aandika ujumbe kwa mke wake "Naomba uwatunze watoto nimejitahidi nimeshindwa"

Lakini jeshini uhakika hela upo ya kula upo Wana stress gani jamani ama maisha sio pesa
Pesa sio kila kitu mkuu.

Kuna watu mifuko yao imevimba hatari, na bado inawawia vigumu kukabiliana na maisha.

Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kumfanya mtu apate matatizo ya akili hapo juu umetaja moja "stress" . Stress in moderation ni kitu kizuri. Ila stress ikizidi na hujui jinsi ya ku deal nayo inaweza kuleta matatizo zaidi.

Watu wengi ambao wanafanya kazi za defence(Police, Military, Navy etc) huwa wana struggle na PTSD ( Post Traumatic Stress Disorder).

Hatujui alikuwa anapitia nini ? Ila ni wazi binadamu mwenye akili timamu anguchukua uamuzi tofauti.
 
Tanzania hatuongelei kuhusu mental health. Huyu jamaa ametaabika sana, Mpaka amefikia hatua ya kutoa uhai wake.
Sad story ni hamna mtu anaejua alikua anapitia nini haswa.
Nakubaliana nawe kwa 50% sababu siwezijua huenda kauwawa na wasiojulikana kwa upande wa pili.

Hiyo hali iliwahi kunikuta nilipopatwa na ajali nikiishi home zaidi ya miaka mi3 bila kazi nikiwa na njemba 2 ilihali nikitegemewa na Ndugu wengine zaidi ya 5.

Tarehe 01 nilikuwaga namalizia kutoa mshahara benki na baada ya hapo ni kushinda tu home nikijiuguza hadi tarehe 25/26 ya mwezi mwingine.

Usiku mmoja saa 7 kifua kilinibana sana wakat huo wale Kaka zangu walienda kwenye harusi walichelewa kurudi home, sina vocha wala hata mia mfukoni, niliamsha Majirani kwa sauti ndogo maana maumivu yalizidi sana na hawakunisikia kabisa.

Nilienda umbali wa km 2 nikamwomba Jamaa mmoja nauli tu alinipa 2,000/= na kufika Hospitalini Kairuki saa 04:00 PM, bahati nzuri nilikuwa na bima ya afya.

Vipimo vilionesha nina "Metro Valve prolapsing" yani kuna baadhi ya misuli ya kwenye moyo ina linkage tokana na msongo wa mawazo hivyo damu, hewa na maji vinaunganishwa kwa nguvu kubwa sana ya moyo kuliko inavyotakiwa kikawaida.

Dr alinishauri dawa bora ni kuchukulia hali niliyokuwa napitia ni kawaida sana na nisikae pekeyangu, pia ni heri nikatafuta vitu vinavyonifanyaga niwe na furaha zaidi la sivyo nitazua balaa zaidi.

Nilifanikiwa kurudi ktk hali ya kawaida kiafya baada ya wiki 2, na ndipo nikajua wakati mwingine excessive stress ni tiketi ya kifo 1 kwa 1 maana nilikuwa siwezi kuhema, kuinama wala kusimama kwa jinsi nilivyokuwa na maumivu zaidi kifuani.
 
Huyo kauwawa, huo ujumbe haumake any sense, ni decoy tu. Uchunguzi ufanyike
Uchunguzi ufanyike
1.Kama kajinyonga waangalie ulimi wake ukoje?
2. Waangalie mk*u*n*d pia n.k
Sio kurahisisha mambo bila uchunguzi ,watu wanauawa na kutengenezewa jumbe fake kama hizo tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana nawe kwa 50% sababu siwezijua huenda kauwawa na wasiojulikana kwa upande wa pili.

Hiyo hali iliwahi kunikuta nilipopatwa na ajali nikiishi home zaidi ya miaka mi3 bila kazi nikiwa na njemba 2 ilihali nikitegemewa na Ndugu wengine zaidi ya 5.

Tarehe 01 nilikuwaga namalizia kutoa mshahara benki na baada ya hapo ni kushinda tu home nikijiuguza hadi tarehe 25/26 ya mwezi mwingine.

Usiku mmoja saa 7 kifua kilinibana sana wakat huo wale Kaka zangu walienda kwenye harusi walichelewa kurudi home, sina vocha wala hata mia mfukoni, niliamsha Majirani kwa sauti ndogo maana maumivu yalizidi sana na hawakunisikia kabisa.

Nilienda umbali wa km 2 nikamwomba Jamaa mmoja nauli tu alinipa 2,000/= na kufika Hospitalini Kairuki saa 04:00 PM, bahati nzuri nilikuwa na bima ya afya.

Vipimo vilionesha nina "Metro Valve prolapsing" yani kuna baadhi ya misuli ya kwenye moyo ina linkage tokana na msongo wa mawazo hivyo damu, hewa na maji vinaunganishwa kwa nguvu kubwa sana ya moyo kuliko inavyotakiwa kikawaida.

Dr alinishauri dawa bora ni kuchukulia hali niliyokuwa napitia ni kawaida sana na nisikae pekeyangu, pia ni heri nikatafuta vitu vinavyonifanyaga niwe na furaha zaidi la sivyo nitazua balaa zaidi.

Nilifanikiwa kurudi ktk hali ya kawaida kiafya baada ya wiki 2, na ndipo nikajua wakati mwingine excessive stress ni tiketi ya kifo 1 kwa 1 maana nilikuwa siwezi kuhema, kuinama wala kusimama kwa jinsi nilivyokuwa na maumivu zaidi kifuani.
Pole mkuu.
Vizuri kusikia umerudi kwenye hali yako ya kawaidi.
 
Kwako Mama Derick nisamehe sana kwa maamuzi haya, maisha kwangu hayana maana tena ,nisamehe sana nimejitahidi nimeshindwa naomba uwatunze Watoto."[emoji2827]
Kuna siri kubwa sana hapo
Huwa ni roho au anatolewa chambo? Maana matatizo aliyoyaleta ni makubwa hata aliyokuwa nayo. Muda mwingine hupelekea hata roho za kujiua zinawafuata.
 
Back
Top Bottom