Jamani hii ishu ya mza ni mbaya sana.Watu waliteswa ndani ya ofisi ya mtendaji wa kata. Mmoja amekufa .Polisi kirumba wanawalinda waliofanya kosa .habari zingine tuache kwanza
Acheni unafi, huyo Mwanajeshi mmoja alikuwa na uwezo gani wa kuwapiga na kuwatesa watu watano tena watu wazima? aliwakamata VP mpaka akaweza kuwathibiti? walishindwa kukimbia kwa nn? huyo ni uongo, sisi wananchi tunapenda sana kuwalalamikia wanajeshi, sijui hata ni ubaya gani wanatenda. Katika akili ya kawaida tu mtu mmoja anawezaje kuwathibiti watu watano? Kibaya zaidi mtoa maada anaongezea na chunvi kuwa kuna msamalia mwema aliingilia huo ugonvi nae akapigwa, ina maana waliopigwa walikuwa watu sita. km huyo anaedaiwa msamalia mwema yy alipata wapi nafasi ya kukimbia? na je? kwa nn hakutoa taarifa Police? msilete habari zenu za move za Kihidi. Eti mtu mmoja tu anampiga mtu sokoni huku wananchi zaidi ya 1000 wamezunguka kila mmoja anaogopa kuingilia ugonvi. Na kama wananchi walikuwepo walishindwa nn kumpiga huyo mwanajeshi anaeonea watu? nasema acheni unafikiiWaziri mwenye dhamana wa mambo ya ndani. Wewe una dhamana juu ya usalama wa raia na mali zao. Hakuna raia anayependa kutetea watu wanaojihusisha na uhalifu. Ila nchi yetu inatawaliwa na kuongoza kwa misingi ya sheria na haki.
Tarehe 26/10/2019 watuhumiwa wapatao watano walikamatwa na Migambo ambao walitumwa na mtendaji wa Kata ya kahama Wilaya ya Ilemela mkoani mwanza kwa tuhuma ya wizi wa Milango. Kuna Mwanajeshi ambae anadai kuwa alikuwa ameibiwa Tv flat screen alianza kuwapiga watuhiwa na kuwatesa akidai hawa ndio wezi wa Tv yake. Mmoja wa watuhumiwa hao maarufu Omela alipigwa sana na alifariki. Mmoja wa watuhumiwa alipigwa na kug'olewa jino. Raia mwema mmoja alijaribu kusaidia ili watuhumiwa wapelekwe polisi nae alipigwa.
Ndugu za marehemu wanaogopa hata kufuatilia kesi hii. Polisi Kirumba wamedanganya kuwa walipigwa na wananchi wenye hasira kali. Katiba ya jamhuri ibara ya 13(6)(b) ipo wazi juu ya watu kutojichukulia sheria mikononi.
Tukio hili la watuhumiwa kupigwa na kuteswa mpaka mmoja akafa limefanyika ndani ya ofisi ya mtendaji wa kata ya kahama wilaya ya Ilemela na mtendaji na mwenyekiti walikuwepo. Sasa kwa nini wapotoshe kuwa walipigwa na wananchi wenye hasira kali!
Acheni unafi, huyo Mwanajeshi mmoja alikuwa na uwezo gani wa kuwapiga na kuwatesa watu watano tena watu wazima? aliwakamata VP mpaka akaweza kuwathibiti? walishindwa kukimbia kwa nn? huyo ni uongo, sisi wananchi tunapenda sana kuwalalamikia wanajeshi, sijui hata ni ubaya gani wanatenda. Katika akili ya kawaida tu mtu mmoja anawezaje kuwathibiti watu watano? Kibaya zaidi mtoa maada anaongezea na chunvi kuwa kuna msamalia mwema aliingilia huo ugonvi nae akapigwa, ina maana waliopigwa walikuwa watu sita. km huyo anaedaiwa msamalia mwema yy alipata wapi nafasi ya kukimbia? na je? kwa nn hakutoa taarifa Police? msilete habari zenu za move za Kihidi. Eti mtu mmoja tu anampiga mtu sokoni huku wananchi zaidi ya 1000 wamezunguka kila mmoja anaogopa kuingilia ugonvi. Na kama wananchi walikuwepo walishindwa nn kumpiga huyo mwanajeshi anaeonea watu? nasema acheni unafikii
Tatizo sio wewe.ni kwa sababu una akili ndogoAcheni unafi, huyo Mwanajeshi mmoja alikuwa na uwezo gani wa kuwapiga na kuwatesa watu watano tena watu wazima? aliwakamata VP mpaka akaweza kuwathibiti? walishindwa kukimbia kwa nn? huyo ni uongo, sisi wananchi tunapenda sana kuwalalamikia wanajeshi, sijui hata ni ubaya gani wanatenda. Katika akili ya kawaida tu mtu mmoja anawezaje kuwathibiti watu watano? Kibaya zaidi mtoa maada anaongezea na chunvi kuwa kuna msamalia mwema aliingilia huo ugonvi nae akapigwa, ina maana waliopigwa walikuwa watu sita. km huyo anaedaiwa msamalia mwema yy alipata wapi nafasi ya kukimbia? na je? kwa nn hakutoa taarifa Police? msilete habari zenu za move za Kihidi. Eti mtu mmoja tu anampiga mtu sokoni huku wananchi zaidi ya 1000 wamezunguka kila mmoja anaogopa kuingilia ugonvi. Na kama wananchi walikuwepo walishindwa nn kumpiga huyo mwanajeshi anaeonea watu? nasema acheni unafikii
Baadhi ya watu wanawaonaga wanajeshi kama vile wanauwezo wa ajabu sana,yawezekana hii iliwatisha wakahofia kuingilia.Acheni unafi, huyo Mwanajeshi mmoja alikuwa na uwezo gani wa kuwapiga na kuwatesa watu watano tena watu wazima? aliwakamata VP mpaka akaweza kuwathibiti? walishindwa kukimbia kwa nn? huyo ni uongo, sisi wananchi tunapenda sana kuwalalamikia wanajeshi, sijui hata ni ubaya gani wanatenda. Katika akili ya kawaida tu mtu mmoja anawezaje kuwathibiti watu watano? Kibaya zaidi mtoa maada anaongezea na chunvi kuwa kuna msamalia mwema aliingilia huo ugonvi nae akapigwa, ina maana waliopigwa walikuwa watu sita. km huyo anaedaiwa msamalia mwema yy alipata wapi nafasi ya kukimbia? na je? kwa nn hakutoa taarifa Police? msilete habari zenu za move za Kihidi. Eti mtu mmoja tu anampiga mtu sokoni huku wananchi zaidi ya 1000 wamezunguka kila mmoja anaogopa kuingilia ugonvi. Na kama wananchi walikuwepo walishindwa nn kumpiga huyo mwanajeshi anaeonea watu? nasema acheni unafikii
mkuu ukiona sehemu kuna shinda harafu rpc,ocd,ocs anajua.takukuru,ofisi na kamati nzima ya ulinzi na usalama imejua hilo swala,ujue kuna namna nyingine sio story za upande mmoja kama hivi.Baadhi ya watu wanawaonaga wanajeshi kama vile wanauwezo wa ajabu sana,yawezekana hii iliwatisha wakahofia kuingilia.
Hakuna la ajabu hapo...mkuu ukiona sehemu kuna shinda harafu rpc,ocd,ocs anajua.takukuru,ofisi na kamati nzima ya ulinzi na usalama imejua hilo swala,ujue kuna namna nyingine sio story za upande mmoja kama hivi.
hakuna mwanajeshi anayepiga mtu mpaka aue zama hizi labda hamjui mabeyo ni nani,labda kwa masuala mengine ya mapenzi nk,sio wizi.
tatizo ninaloliona hapa tunaendeshwa na chuki ambazo hazieleweki zinatoka wapi?mwanajeshi anapiga watu wanne,mapaka anauna mmoja kwa kosa la wizi wa flat screen ya kichina!!! hata ubakaji hawezi kufanya huo upupu.
nani anamuogopa sasa!Hakuna la ajabu hapo...
Anaweza sana maana anaogopwa na anayafanyia mbele ya wanaserikali..
Ndu akili kubwa ikoje? Maana mm akili yangu imeendana na kichwa changu, yawezekana ww ukawa na kichwa Cha Punda, unaakilili kubwa ila huna maarifa.Tatizo sio wewe.ni kwa sababu una akili ndogo
Kwa taarifa yako tukio hili linatokea nilikuwepo hapo ofisini. Na nimeshuhudia kwa macho yangu.Alianza kumpiga kwa gongo kubwa kama mwichi.hata wananchi wameshuhudia usiongee mambo kwa ushabiki tumkuu ukiona sehemu kuna shinda harafu rpc,ocd,ocs anajua.takukuru,ofisi na kamati nzima ya ulinzi na usalama imejua hilo swala,ujue kuna namna nyingine sio story za upande mmoja kama hivi.
hakuna mwanajeshi anayepiga mtu mpaka aue zama hizi labda hamjui mabeyo ni nani,labda kwa masuala mengine ya mapenzi nk,sio wizi.
tatizo ninaloliona hapa tunaendeshwa na chuki ambazo hazieleweki zinatoka wapi?mwanajeshi anapiga watu wanne,mapaka anauna mmoja kwa kosa la wizi wa flat screen ya kichina!!! hata ubakaji hawezi kufanya huo upupu.
Kama kamati ya ulinzi na usalama kwa nini hawachui hatua kama wanafaham? Hapa kuna tatizoKwa taarifa yako tukio hili linatokea nilikuwepo hapo ofisini. Na nimeshuhudia kwa macho yangu.Alianza kumpiga kwa gongo kubwa kama mwichi.hata wananchi wameshuhudia usiongee mambo kwa ushabiki tu
Kibaya zaidi hajaelewa kilichotokea ni kama unapayukamkuu ukiona sehemu kuna shinda harafu rpc,ocd,ocs anajua.takukuru,ofisi na kamati nzima ya ulinzi na usalama imejua hilo swala,ujue kuna namna nyingine sio story za upande mmoja kama hivi.
hakuna mwanajeshi anayepiga mtu mpaka aue zama hizi labda hamjui mabeyo ni nani,labda kwa masuala mengine ya mapenzi nk,sio wizi.
tatizo ninaloliona hapa tunaendeshwa na chuki ambazo hazieleweki zinatoka wapi?mwanajeshi anapiga watu wanne,mapaka anauna mmoja kwa kosa la wizi wa flat screen ya kichina!!! hata ubakaji hawezi kufanya huo upupu.
Moto unaanza kuwaka. Hakuna kinga wala mbao.Hao wana kinga ya kuua maana ndio wanatumika kuficha maovu ya serikali.