LIKE
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 4,755
- 9,889
Jamani hii ishu ya mza ni mbaya sana.Watu waliteswa ndani ya ofisi ya mtendaji wa kata. Mmoja amekufa .Polisi kirumba wanawalinda waliofanya kosa .habari zingine tuache kwanza
kuna hatua zimechukuliwa.,.hadi hii Leo.?