Hizi akili za kijeda hizi. Nani aliyekuambia kosa moja huondolewa kwa kufanya kosa lingine? Kwamba kwa sababu dereva wa daladala alikosea then inampa askari haki ya kufanya kosa la kushambulia na kudhuru mwili?Naendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Madereva wa daladala acha wafundishwe adabu,hua wanakera na kujifanya wanajua uhuni wa mjiniNaendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Ndiyo hapo sasa, na yeye kachakazwa[emoji1787]Mbona kama mjeda na yeye kabondwa?
Kweli madereva baadhi yao wa daladala wana lugha chafu na dharau , utasikia mara gari ya mkopo, mara ntakufanyia zengwe nkuchomkee ,mara gari si yako , mara huna la kunifanyaNaendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Hawa madereva wa daladala,bajaji hua wanajifanya hawana fahamu kabisaNimefurahi sana alivyotembeza kichapo hicho mkuu.
Ok sawaAnatania.usichukulie serious
Halafu hawa ndio Mbowe kawaita wafanye maandamano kweli?? wanaume mjeshi mmoja wanamtizama tu. Ngoja tuone itakavyokua, ila kama wanaume wenyewe ndio hawa haahaaha, nchi ngumu sana hii.Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
Hapo ndio unaharibu utazidi kumliza fundi wetu fundi bishooUnalia Lia kama mtoto wa kike!? Jikaze
Huu ni ushamba, sasa hapo Dereva akijihami kwa bisibisi akamuua mjeda utashangaa tena kesi inageuka kwa raia kwamba wameua askari. Watatuma platoon nzima kutandika madereva, makonda na wapiga debe wa daladala.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
Unajiita chawa wa mama halafu na ulichoandika kina endana na akili yako unajiitaje chawa binaadamuNamuunga mkono mwanajeshi tena huyo dereva wa daladala ni muhuni
Nenda kwa Mange utajua chanzo na video za ugomvi utazikutachanzo ni nini?
Tukiamka tuu tunafungua page ya mmbea wa Taifa mwenye umbea wa viwango vya TBS Mange mwenye Kimambi zake mujini...Nenda kwa Mange utajua chanzo na video za ugomvi utazikuta
angemvamia bodaboda vilee ndo angeonaa motoo sasaaAdhabu hazitolewi tu bila haki ya kusikilizwa na kuelewa chanzo cha changamoto.
Watawatafuta na watakamatwa tu. Hawa ndiyo wale wasio raia wa Tanzania ( wakiwemo wakimbizi) tunaosema wamejipenyeza serikalini na kwenye taasisi nyingine za serikali na wengine kupewa uteuzi.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
Ndio operations wanazoziweza ukiondoa kuvunja matofali kwa kichwaKuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
Ni maneno huwa wanatoa madereva boda,bajaj na daladala.Wakipewa risasi za vichwa hutulia.angemvamia bodaboda vilee ndo angeonaa motoo sasaa