Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Naendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Hizi akili za kijeda hizi. Nani aliyekuambia kosa moja huondolewa kwa kufanya kosa lingine? Kwamba kwa sababu dereva wa daladala alikosea then inampa askari haki ya kufanya kosa la kushambulia na kudhuru mwili?
 
Naendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Madereva wa daladala acha wafundishwe adabu,hua wanakera na kujifanya wanajua uhuni wa mjini

Askari yupo sahihi kumpa kichapo,wengi wa hawa madereva hua ni wajeuri,hawana heshima wala ustaarabu

Safi sana Askari
 
Naendelea kumtafuta huyo mjeda (askari wa JWTZ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu, kwa sasa nchini Tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini.
Kweli madereva baadhi yao wa daladala wana lugha chafu na dharau , utasikia mara gari ya mkopo, mara ntakufanyia zengwe nkuchomkee ,mara gari si yako , mara huna la kunifanya

Lakini sio wote


Hapo nikuangalia tukuo zima lilivokuwa
 
Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
Halafu hawa ndio Mbowe kawaita wafanye maandamano kweli?? wanaume mjeshi mmoja wanamtizama tu. Ngoja tuone itakavyokua, ila kama wanaume wenyewe ndio hawa haahaaha, nchi ngumu sana hii.
 
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


Huu ni ushamba, sasa hapo Dereva akijihami kwa bisibisi akamuua mjeda utashangaa tena kesi inageuka kwa raia kwamba wameua askari. Watatuma platoon nzima kutandika madereva, makonda na wapiga debe wa daladala.

Haya majeshi ya watu weusi yamekalia nguvu kuliko akili ndio matokeo yake haya.
 
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


Watawatafuta na watakamatwa tu. Hawa ndiyo wale wasio raia wa Tanzania ( wakiwemo wakimbizi) tunaosema wamejipenyeza serikalini na kwenye taasisi nyingine za serikali na wengine kupewa uteuzi.
 
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


Ndio operations wanazoziweza ukiondoa kuvunja matofali kwa kichwa
 
Back
Top Bottom