Mpambe umesikia wanaenda kufanya kitchen party? Asiejua maana haambiwi maana endelea kukaririshwa hivyo hivyoUmepuyanga Rais analindwa na TISS, yule mwanajeshi anayeongozana na Rais ni mpambe wa Rais
Come on man!
Kwa nini baadhi ya watu ni waoga hivyo?
Why not fight back?
Huyo mwanajeshi naye ni binadamu tu kama wewe.
Akikurushia ngumi nawe mrushie. Na ikimpata kwenye taya anaenda chini tu kama watu wengine.
Watanzania wananiangusha sana aisee.
I wish one of these niggaz would try me one day…..
Tunasubiri kwa hamu taarifa za kuchukuliwa hatua. Watu kama hao hawafai kuwa katika hii kazi inayohitaji nidhamu ya hali ya juu na kuwa mfano kwa raia. Shame upon him!Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
"Hatutai" acha kujipa mamlaka hakufai wewe kama nani?Heshima Utu ni kila mmoja anahitaji haijalishi wewe ni combatant au Civilian
Huyo PTE hajaiva kwanza askari hatakiwi kujaa nyembe
HATUFAI
Huu ni uvunjifu wa sheria, huyu unaweza kumshitaki hata kituo cha polisi.Daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaani gari Inatembea unampga dereva hivi😭😭
Nimejikuta nalia aisee inaumiza😭😭
UmepuyangaMpambe umesikia wanaenda kufanya kitchen party? Asiejua maana haambiwi maana endelea kukaririshwa hivyo hivyo
Hivi unajua hata kirefu cha TISS na unajua hao maofisa wa TISS wanatokea wapi au unafikiri wanapeana teuzi za mikoa DED sijui DC na RC unafikiri ni hivyo wanateuliwa km wenezi na makatibu?
Mpambe umesikia wanaenda kufanya kitchen party? Asiejua maana haambiwi maana endelea kukaririshwa hivyo hivyo
Hivi unajua hata kirefu cha TISS na unajua hao maofisa wa TISS wanatokea wapi au unafikiri wanapeana teuzi za mikoa DED sijui DC na RC unafikiri ni hivyo wanateuliwa km wenezi na makatibu?
Unaniuliza kirefu Cha TISS, unafikiri humu Jf Kila mtu ni darasa la 7 kama weweSawa Shangazi,
Jino kwa jino,Mjeda na yeye raia wema wamempa vitasa jeshi liache kuonea raia wema
Wanajipigisha story tu hapaNasikia abilia wamemchezeshea na yeye
Kuna mmoja alimpiga dereva wa basi la SARATOGA kwa sababu ame mu overtake eneo Hilo Hilo la kibaha, jamaa ni majinga sanaHii tukio liliwahi kutokea pale Picha ya Ndege, Kibaha mwaka jana, mimi nikiwa miongoni mwa abiria kwenye Daladala ile iliyokuwa inaenda Mlandizi, nilimind sana ingawa nilibaki kupigwa butwaa kama abiria wengine.
Huyo mpumbavu aliblock Daladala na ka IST kake halafu akaja dirishani mwa dereva akaanza kumpiga hadi akamchania Tshirt. Dereva hakuumizwa.
NB: Tatizo sio hawa wapumbavu, tatizo ni sisi raia kuwalea na kukubali wao watufanyie huu ujinga, tukijitambua watatuheshimu.
Wange m'ngoa meno abaki na ukumbushoMbona kama mjeda na yeye kabondwa?
Yaani siwapendiWanajeshi wapumbavu sana
tuna nidhamu ya uogaWabongo nao tumekuwa legelege sana. Huyo mwanajeshi ni hayo magwanda tu, hana lolote. Huyu dawa yake ni kujibu mapigo, umpige mpaka ajinyee halafu aende kuita wenzake kama ilivyo kawaida yao.