TANZIA MwanaJF mwenzetu Erick Kalemela amefariki dunia

Mola Mlezi hana sifa ya kulala, kuchoka, kuzaliwa, kuoa au KUFA.... YEYE ni wa MILELE, HANA MWANZO WALA MWISHO...

Kufa kama kulivyo kuzaliwa ni TRANSITION KWENDA KWENYE HATUA NYINGINE YA MAISHA.

Innalillah wainailayh rajiuun.... hakika Sisi sote ni wa Mola Mlezi na kwake sote tutarejea!!!!
Kwanini Allah abaki pekeyake, huoni huo ni ubaguzi dhidi ya Binadamu?
 
Kaka ungetiya nakapicha
 
Jina la bwana lihimidiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…