Kwani kifo cha Mungu kipoje??au ufajee ndio watu wajue umekufa Kwa mipango ya Mungu na si vinginevyo??wabongo hamkosagi sababu kwenye kifo utafikiri mlishawahi na mnauzoefu wa kufa??epuka chako basi kama unakifahamu na unakijua Kifo!!Kwa hiyo ajali ya manyoni na bichwa la treni ni mpango wa mungu
Ova
Haya maisha kupigwa juju na kupiotezwa ni dakika tuIlala imezizima. Poleni sana wana ilala.
Alikuwa ndo kaanza kazi Marekani baada ya ku kuhustle dizonga kwa muda mrefu.
Mungu awatie nguvu wafiwa...
Duh hadi unaweza kusema katupiwa mdudu.
Na hakuna kifo Cha ghaflaKuna vifo vya Mungu na vifo vya wakuu wa giza...
Kuna watu Roho zao zinatumikishwa bado duniani na wakuu wa giza...
Watu hufikiri vifo vyote ni vya Mungu...
NB: Watu wengi hawajafa kifo cha Mungu
Kwani ww ulikuwa unajua Rubawa anafananaje punguza mihemkoRIP
Lakini nina swali kwako mtoa taarifa, Marehemu alikwambia akifariki umuwekee hadharani picha zake?!
MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
We waonaje?Kwa hiyo ajali ya manyoni na bichwa la treni ni mpango wa mungu
Ova
Sasa mkuu ulitaka aruhusiwe na marehemuPrivacy policy has to be adhered! Kakuruhusu kuonyesha picha yake hapa?
Toa mfanoKuna vifo vya Mungu na vifo vya wakuu wa giza...
Kuna watu Roho zao zinatumikishwa bado duniani na wakuu wa giza...
Watu hufikiri vifo vyote ni vya Mungu...
NB: Watu wengi hawajafa kifo cha Mungu
Mimi sioni tatizo kama sijawahi kuandika mabaya juu ya maisha yangu au maisha ya mtu kwanini kuficha picha yangu,unajuaje kama aliyepandisha picha hapa alisharuhusiwa na marehemu atumie picha zake kutangaza kifo chake?Privacy policy has to be adhered! Kakuruhusu kuonyesha picha yake hapa?
Rubawa sio lubawa shida kubwa hiyo ya matamshiNimepitia comment za ndugu yetu marehemu lubawa alikua kichwa....
Pumzika kaka lubawa
Kwenda nawe nyie ndio mkifahamiana na mtu kidogo mnajitia ujuaji, marehemu angetaka asingejificha.Kwani ww ulikuwa unajua Rubawa anafananaje punguza mihemko