TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

Mungu wangu! Pumzika kwa amani rafiki yangu Rubawa.

Alikuwa akimkubali sana Mzee Mohamed Said wa humu, mara kadhaa aliwahi kunitafuta akitaka nimfikishie ujumbe wa ombi la vitu kadhaa alivyotaka aviandike apate kujifunza.

Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…