TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

Marehemu hana kauli ila Kama hakutaka Identity yake iwe wazi akiwa hai hata akiwa amekufa inapaswa kubaki hivyo, kama aliiweka wazi ni sawa kuendelea kuiweka wazi.

Apumzike kwa amani mwenzetu.
Marehemu hakuwa anajificha...

Rubawa ni jina lake halisi (Hamidu Rubawa)...

Hata Display Picture ya avatar yake ni PICHA YAKE HALISI!
 
Ok boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…