IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 176
- 441
- Thread starter
- #121
Marehemu hakuwa anajificha...Marehemu hana kauli ila Kama hakutaka Identity yake iwe wazi akiwa hai hata akiwa amekufa inapaswa kubaki hivyo, kama aliiweka wazi ni sawa kuendelea kuiweka wazi.
Apumzike kwa amani mwenzetu.
Rubawa ni jina lake halisi (Hamidu Rubawa)...
Hata Display Picture ya avatar yake ni PICHA YAKE HALISI!