T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu awe mfariji mkuu katika kipindi kigumu ambacho familia yake inapitiaNakazia.
May his soul rest in eternal peace🙏
Tuko msibani tafadhali 😂Mawazo ya kijinga kabisa haya,toka huko kwenye imani za hovyo.
😂 Nimecheka.Kwani kifo cha Mungu kipoje??au ufajee ndio watu wajue umekufa Kwa mipango ya Mungu na si vinginevyo??wabongo hamkosagi sababu kwenye kifo utafikiri mlishawahi na mnauzoefu wa kufa??epuka chako basi kama unakifahamu na unakijua Kifo!!
Amen to that🙏🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu awe mfariji mkuu katika kipindi kigumu ambacho familia yake inapitia
Ndio utuambie sasa hiko Kifo ambacho si cha utata,tatanishi nk!!😂 Nimecheka.
Ila mkuu Cha Mungu hakiwi na utata,tatanishi,nk