peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Huwa mnamtambuaje mwanaJf akifariki? Wakati wengi wanatumia I’d fakeNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama
Inabidi watu tufahamiane watu humu Kila siku majanga.Pole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
Dah.. masikini.. alikuwa na kileo kichwani huyu jamani. Dah!
Sio wotr zimejaa tabu..wengine bata tu mpaka mauti yanawakuta wanakula bata..acha kukariri mistari vibayaMwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake siyo nyingi nazo zimejaa tabu. Pole kwa familia
Aisee hapa kuchomoka ni kwa muujiza tu. RIP
So sad!!His fight is over...
RIP
Hiv Eyce utapata vp taarifa uzilete hum siku nikuvuta???
Tuwe pole sote.Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama
Siyo kwamba wewe ndiyo umekariri vibaya mkuu, kwenye kuitafsiri tabu maana kwenye akili yako umefikiria maisha ya shida lakini ukasahau hata kuipata hiyo hela ya kula bata ni tabu pia na ndiyo msingi wa ayaSio wotr zimejaa tabu..wengine bata tu mpaka mauti yanawakuta wanakula bata..acha kukariri mistari vibaya
Daaah hii kutoka hai ni ngumu,mana kapiga roli
Poleni sana wanaJF kwa msiba huu mzito.Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama