Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu, ila umepotea sanaMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Mimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Ohhh...Hii ndio picha ya bidada Saint Anne.?
Nipo mamiii...huku ni poa sijui pande zenuKumbe upogo wee habari za uko kwenu
Nipo mkuu...majukumu tu yameongeeka kidogoPole sana mkuu, ila umepotea sana
kwetu poa sana mkuu tunapambana na hali zetuNipo mamiii...huku ni poa sijui pande zenu
Asante sana mkuu....Poleni sana Hazard. Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja yake isiyo na kikomo
Asante sanaPole
Poleeeeh sana Mr.
Pole mkuu
Pamoja wakuu...Pole Sana mkuu
Pole sana mkuu,apumzike kwa amaniMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Pole sana Saint Anne Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu
Pole sana saint Anne
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa Amani
Pole sana Saint Anne
Poleni sanaa, MUNGU awafariji katika kipindi hiki kigumu
Amen akhsante.Pole sana Saint Anne
Amen.Pole sanaa madame,Poleni Sanaa wafiwa wote Mungu awatie nguvu na mpate faraja ya kusonga mbele.Jehova akupe ujasiri ndani ya kifua chako katika kipindi hiki kigumu Cha kuondokewa na mpendwa wako.
Simama inuka jifute machozi beba silaha ya ushindi,faraja,tumaini na ujasiri kaza buti endelea na safari.Usife moyo Wala usikate tamaa Yeye hufanya njia mahali pasipo na njia.Usilie nyamaza,Inuka usonge mbele Safari Bado inaendelea usikate tamaa Saint Anne.