ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Mungu akutie nguvu Saint Anne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni wote wakuu mangi aliitwa nani ni wa marangu, kibosho au wapi kwa Kilimanjaro.Mimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
MshangaaPoleni wote wakuu mangi aliitwa nani ni wa marangu, kibosho au wapi kwa Kilimanjaro.
Mshangaa
Mwika kondeni
Pole Sana mkuuMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Pole mkuuMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Poleeeeh sana Mr.Mimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Amen dada[emoji24][emoji120]Saint Anne
Pole sana dear,naelewa unachopitia[emoji24][emoji24]Mungu akawe faraja yenu wewe na wapendwa wako.
Uko katika maombi yangu[emoji120][emoji120]
Hii ndio picha ya bidada Saint Anne.?
Pole sana mamiiii
Mungu akutie nguvu Saint Anne
Pole sana na poleni wafiwa wote, mungu awape nguvu na ampe mwenzetu nguvu kipindi hiki kigumu.
Pole Sana kwake
Mungu awatie nguvu...
AmenMungu awape faraja wafiwa, na roho ya marehemu ipumzike kwa Amani.
PoleMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Akhsante,[emoji120]Pole sana ndugu yetu
Kumbe upogo wee habari za uko kwenuPole sana mamiiii